Watu wengi wanaajiri kwa sababu tofauti, wengine kwakuwa wanapenda, wengine ajira ngumu , mazingira n.k
Kuna vijana wengi ambao wapo mitaani hawajui pakunzia , ila kikubwa safari ya kujiajiri...
Wakuu,
Nilianzisha biashara ya nguo lakini soko limekuwa gumu sana nilikuwa nachukua nguo K/koo napeleka mikoani hasahasa Morogoro ila biashara ni ngumu huko mzigo hautembei kabisa mauzo madogo...
Hali ya maisha sasa hivi imekuwa ni tofauti, makampuni yanabana matumizi hivyo nasisi lazima tubane matumizi. Hizi ni mbinu unazoweza kuzitumia kubana matumizi
1. ukifanya maamuzi ya kuishi...
SIO KILA MTU ANASTAHILI KUSAIDIWA WENGINE WANATAKA WAKUSHUSHE CHINI.
Karibu msomaji!!
Ivi ulishawai kuona unafanya biashara yako vizuri na inaendelea vizuri kabisa na kukuingizia pesa.
Sasa...
Ndugu wana jamii forum,nngependa kujua kuhusu biashara ya unga wa mahindi nje ya mipaka ya Tanzania kama Kenya,Congo na Sudan. Naomba kujua legal basis,Market na profitability ya biashara hiyo...
Kama kichwa cha habari hapo juu, I want to start a business in Arusha so nahitaji sehemu ambayo ina watu wengi sana kama stendi. Biashara ninayoanziaha ni ya chakula.
Karibuni mwenye kujuana na...
HELLOW
Poleni wote wanaopenda mabadiliko chanya katika maisha yao ya sasa na ya baadae lakini pia wapenda mabadiliko katika maisha yao kwa mihangaiko ya siku nzima....
Humu duniani kila siku...
Tittle:Maonyesho Nane Nane kanda ya kaskazini yadoda
Wadau wa Nane Nane kanda ya Kaskazini walalamikia hatua ya mkuu wa mkoa wa Arusha kuingilia na kutoa maelekezo ya kuwa umiza washiriki na...
GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bullish
Gold went downwards in June, but went upwards in July, thus recovering some of the losses sustained in June. In July, a low of 1204.53 was reached, while a...
Nmemfatilia kwa karibu treatment za afisa mkopo wa tawi la Mbeya Herieth kaberenge , nmeona jinsi anavyowanyanyasa, kuwatesa na hata kuwaweka chini ya ulinzi wateja wanaochelewesha Mikopo.siamin...
Wadau,leo nimeona tuliangalie hili suala la kuondolewa kwa CDA kwenye kuustawisha mji Wa Dodoma na nafasi yake kuchukuliwa na manispaa,
Hapo kwenye CDA naomba wale Wa Dodoma watupatie mafanikio au...
Habari Wakuu,
Nahitaji kufungua biashara ya muziki ili kukuza kipato changu na kutoa ajira pia.
Lengo ni kupiga muziki kwenye sherehe mbalimbali na misiba, kutoa matangazo ya aina mbalimbali...
Habari za Mida?
Wajasiriamali poleni na wale tuliobinasifisha muda wetu baada ya sisi kutokuwa na kazi nao pia poleni.
Jioni hii niko naongea na Dada anaye uza uji baada ya kupita kupata kikombe...
Mimi ni kijana wa kiume,nmemaliza chuo mwezi huu. Nasubiri vyeti mwisho wa mwaka ambapo ajira rasmi inaweza kuwa mwakani. Kwa muda huu ninafikiria nifanye biashara(nina mtaji wa 500,000) au...
"With every trade or investment there are four possible outcomes. You can have a small win, big win, small loss or big loss. As long as we make sure we eliminate the big loss from happening, we...
Moja kati ya vitu pekee watu walitamani kuvisikia ni kurejea kwa thamani na heshima ya pesa za Tanzania na Hii ndio awamu pekee katika miongo 30 iliyopita ambapo watanzania tumekua na heshima na...