Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Habari zenu wadau Hapa ninapofanya kibarua kuna store za bidhaa mbalimbali lakini nyingi miongoni mwazo ni madaftari (counter book). Nimejaribu kumuuliza jamaa ambae anadeal na counter book za...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Imagine running a big business right now. Demand for your product is up. You need a new factory. Should you build now? Should you wait until next year? The year after? That’s not really a...
0 Reactions
2 Replies
555 Views
[emoji12]
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Salamu wakuu kwanza Bila kupoteza mda Leo nimeamkia kwenye kutafuta riziki nimekuja kwenye sherehe ya ndoa hapa nikasema nipige pesa Leo Kwa Sana cha ajab sherehe inaanza tu.. Jamaa kachukua...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu Leo ni siku nyingine, na mada nyingine mezani. Katika Maisha yetu naamini tumewahi kukaa na wazee ama watu waliotuzidi umri ambao wametusimulia mengi yaliyotokea kwenye maisha...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Salute wakuu, hope harakati zinaenda ipasavyo. Straight to the point, kuna idea hii ya ecommerce website kwa tz, nmekua nikiifikiria sana na sasa nimeamua kuifanya. Looking at tz, naona giants...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Habari ya leo wakuu? Samahani,siku za nyuma nilipost thread ya kutafuta kazi au kibarua sikuweza kufanikiwa ila kuna eneo la biashara ya jikoni nimelipata na pako vizuri sana,aliye kuwepo mwanzo...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu, Niko najaribu kuwaza tu kwanini ushirika ulikufa yawezekana sababu zipo, lakini zikawa hazina mashiko sana. Tufanye nini ili kuinua na kufufua upya vyama vya ushirika vyenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Salam wakuu. Ni taasisi /agent/ saccos gani (ukiacha mabenki) naweza kupata mkopo wa TZS 1.000.000 haraka ndani ya siku moja? Hata kama mtu binafsi sawa tu. Nina nyumba.gari. Naomba kujua na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ukiskia fursa kwako wewe mfanyabiashara, hii ni yako. Tumia tips hizi kuongeza mauzo/sales katika biashara yako kipindi hiki cha sikukuu. 1. TOA DISCOUNT Kulingana na biashara unayofanya, angalia...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ongezeko la gharama za uendeshaji wa benki na masharti mapya ya kodi yaliyowekwa na serikali kwa taasisi za fedha yameathiri yametajwa kuathiri mwenendo wa utoaji mikopo kwa wafanyabiashara...
1 Reactions
1 Replies
958 Views
Kutoka kununua hisa moja tsh 800 imeshuka mpaka tsh 72 haibu nimejuta kununua hisa zenu
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba tudiscuss fursa ambazo mwana chuo anaweza akazitumia awapo chuoni kujitengenezea kipato Karibuni sana wadau na wanajukwaa
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu mm ni kijana wa miaka 22 niko mjini nafanya kazi ya kuajiriwa kwa mtu kwahiyo kila siku inanipasa niamke saa 12 asubuhi na kurudi saa moja usiku Hii kazi nimefanya kama miaka 4 ila naona...
1 Reactions
32 Replies
8K Views
Kama una njia mwanana ya kupunguza nilichokitaja hapo juu unawepa pata promotion nzuri ya kazi eneo mwanana.. Nipe mkakati mzuri wa jinsi ya kufanya hivyo.nikiona unafaa kwa sbb nmekua na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
1. Kodi lazima iwe jambo la kwanza kuwaza. Hebu waza kwanza ni biashara gani nifanye ambayo haitonilimbikizia mzigo wa kodi? Ni lazima biashara utakayoichagua iweze kukupa faida ya kutosha kuliko...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
Binafsi ni muumini wa kilimo na Teknolojia. Najaribu kuwaza kiwanda gani naweza kununua au kutengeneza kwa gharama ya millioni nne za kitanzania angalau kije kufunguliwa na kiongozi wangu wa mtaa...
12 Reactions
162 Replies
57K Views
Wakuu kama uzi unavyojieleza wewe unatarajia kuanzisha either genge kijiosk. Duka ama project yeyote yenye kuwekeza kias fulani cha pesa ila kutokana na kukosa ujuzi unahisi kama hutofika mbali...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Salamu, Nimgependa kupata ushauri na maelezo wa jinsi ya kuwa a Clearing Agent. Ningependa kujua ni license gani zinahitajika na ni mamlaka zipi zinatoa hizo license Ningependa kujua gharama...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…