Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

1.Nyumba iko eneo zuri sana la west chinangali dodoma mjini. 2.Eneo limepimwa,nyumba ina hati 3.Ina vyumba vitano,jiko,sebule,choo na bafu vya ndani 4.ina fensi na eneo kubwa sana la wazi na iko...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Shamanic ya $29 yataifishwa [http Waziri wa Fedha Dakta Philip Mpango leo amekagua shehene ya Alimasi iliyokamatwa uwanja wa ndege wa Dar es salaam iliyofanyiwa makadirio hafifu ikiwa ni nusu...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Wazir wetu wa kilimo tembelea wakulima wa mahind,ludewa, songea, mbinga, Makambako, sio mnakaa ofisini tuu, tangu mfunge mipaka hakuna soko la mahind, sahiz mahind debe tsh, 3000,5000,kweli hi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaji mtu anaweza kunitengenezea Website nzuri anitafute whatsapp 0745444713 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Una nursery yako na unahtaj Teacher mzoefu??? Wapo maticha wazoefu na makini weny sifa na vigezo...... Na primary pia wapo wamemaliza garissa teachers college kenya... Check me 0712770729 au...
0 Reactions
1 Replies
569 Views
Wadau nina taharifa kwamba kuna mpango umeanzishwa na PPF wakishirikiana na TPB kuwezesha wajasiriamali! Wanasema ukiweka akiba ndani ya miezi 6(mchango wa kila mwezi), unaweza kukopa mpaka mara 3...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza zipo jumla lita 2000 yaani dumu 100 za asali mbichi original ya nyuki wakubwa ujazo wa lita 20. Mazungumzo kidogo kwenye bei yapo karibuni. Dar es Salaam pia...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
BIASHARA DODOMA Bonyeza hyo link kujiunga na group la biashara dodoma..plz lazima uwe ni mfanyabiashara wa dodoma na mkazi wa DODOMA.
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Jamani wanajamii nataka kuanza biashara ya stationary na kuban cd ni hatua zipi napitia ili niweze kvambulika kisheria.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wakuu, Naomba wenye utaalamu waku calculate Vat wanisaidie hii hezabu. Nilinunua bidhaa kwa bei ya tsh. 240,000/=(VAT inclusive) VAT = 20% Je ni kiasi gani cha kodi ambacho nimelipa kama...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Wandugu, Naomba anayaweza kunipatia LIST OF TANZANIAN BANKS SWIFT CODES tafadhali. Nime google mpaka nimechoka!
0 Reactions
58 Replies
38K Views
Nimekuwa nikiuliza watu wengi maswali kuhusu kujiajiri na kuajiriwa....most of the answers imekuwa kujiajiri ndio "mchongo",sasa mbona sioni jitihada za watu kutaka kujiajiri.....halafu inakuwaje...
7 Reactions
141 Replies
15K Views
Now day kuna motivations stories nyingi sana, Uki google utakutana na stories za kila aina, Kuna hadi Motivation speaker wakina James Mwang'amba na wengineo kila siku utawasikia wapo Holday inn...
13 Reactions
33 Replies
6K Views
Kama daladala ya kariakoo_Tegeta inatumia lita 150 kwa siku..... Na kama serikali imeongeza sh 40 kwa lita kama mbadala wa motor vehicle road license... Kama dalaladala hiyo ilikuwa ikilipa road...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu katika ujasiriamali katika jambo lolote lile ambalo tunafikilia kulifanya kuna watu walishalifanya na wakafanikiwa. Najua tunapenda ujasiriamali lakini chagua kwa watu...
2 Reactions
3 Replies
936 Views
GOLD (XAUUSD) Dominant Bias: Bullish Gold trended smoothly upwards last month, reaching a low of 1251.28 and a high of 1325.75. On September 1, price made some bullish attempt, closing at...
0 Reactions
5 Replies
976 Views
Wakuu habari. Huku nikiwa nalia na mbaazi ndani , bado naangalia soya inavoozea ndani, na bado naangalia mahindi bei ilivo chini ambapo ukiuza gunia mbili ndio unapata mfuko mmoja wa mbolea naomba...
11 Reactions
32 Replies
5K Views
Habari za Leo wana Jamii, Natumaini waote ni wazima wa afya Leo ni maada (wazo) fupi la kuchangia kuhusiana na kichwa cha habari hapo. Principal Licence ilitangazwa miaka mili iliyopita ikiwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…