Wakuu.
Nimepata kubadilishana mawazo na wafanyabiashara wakubwa , wengi wao wanaelezea jinsi walivyohamisha mitaji yao na kutoa pesa kwenye mzunguko nchini,
Na mitaji yao wameipeleka mataifa mengine ya Afrika au Bara Asia sasa najiuliza sababu kuu ni nini?
Nimepata kubadilishana mawazo na wafanyabiashara wakubwa , wengi wao wanaelezea jinsi walivyohamisha mitaji yao na kutoa pesa kwenye mzunguko nchini,
Na mitaji yao wameipeleka mataifa mengine ya Afrika au Bara Asia sasa najiuliza sababu kuu ni nini?