Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Habari zenu wana JF, naamin mpo salama na amani imetawala. Wadau mimi binafsi nilitaka tu tushirikishane fursa mbali mbali zilizopo kwa sasa. Naamini kila mtu anakubali kuwa hali ni ngumu sana...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Ndugu wana jf, mm ni mwanafunzi wa chuo kikuu ,nimekwama ada kiasi cha laki 2 , aliye tayar kunikopesha kwa dhamana hata ya chet cha form 4 & 6 ,au mashart mengine yasiwe magumu ,naomba anisaidie...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish This week, EURUSD assumed one of its strongest movements in recent times. Since December 18, 2017, price has gained 800...
2 Reactions
1 Replies
902 Views
Juzi nilikuwa napita pita maeneo ya mjini kama unavyojua Mkulu kesharuhusu wamachinga kupanga vitu, nikawa napita kutafuta saa moja hivi ya mkononi kwa ajili ya mdogo wangu. Nikapita eneo...
12 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu, salamu na pole na mishughuliko mingi, Kiukweli ukifika Ubungo kutoka Mataa- pandisha kama unaenda Kimara kipande chote kile mpaka ilipokuwa idara ya maji kifaa sana kumpata mwekezaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndg...Wana Jf...Mimi ni mkulima Nina pump mpya...Aina ya Sansan...ya petrol horse power 5...Natumai kuvuta majitoka bwawani kuna Kwenye Karo la Kumwagilia...Nashangaa Leo ghafla Mora...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jameni kwa ambaye anafahamu naomba msaada kuhusu hii biashara.Naomba kufahamu yafuayayo:- 1.Vifaa vinavyotumika na bei zake 2.Wapi naweza kupata matetials kwa bei nafuu hapa Dar 3.Bei ya kuuza...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za jioni ndugu zangu wapendwa. Ni jioni ya machungu Kwa jirani yangu muda huu anapokonywa vitanda makochi na kila kitu Kwa kushindwa marejesho ya maliyeshindwa mwezi mmoja tu. Mvua...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Uganda - 25% living below the poverty line. Tanzania - 29% living below the poverty line. Kenya - 46% living below the poverty line. Don't let GDP figures mislead you. I always tell my fellow...
0 Reactions
3 Replies
867 Views
Habari zenu wadau, Kama kichwa cha habari kinavyosema apo juu, naomba kujua faida zake na changamoto zake hii biashara ya baby diapers (Pempas watoto) kwa mkoa wa Dar na mbinu gani niweze kutumia...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Farm for Lease A 2.5 hectare brick fenced farm at Madale Kisauke in Dar is for Lease. The farm has a chicken house that is fully equipped with water drinkers. It can accommodate up to 10,000...
2 Reactions
2 Replies
667 Views
habari wana jamvi huu uzi ni mahususi kwa wale wenzangu na mimi ambao tunafanya biashara ya vitu used. Yani kwa mtu yeyote anayeuza kitu chochote used anaweza kuutumia huu uzi na kutangaza na...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nauza camera Canon 650D kwa bei ya shilingi 850,000 tu. Pia napokea exchange deal na Smart TV LG au Samsung picha za Camera zipo hapa ndani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naomba kufahamu faida inayopatikana kwenye mifuko ya UTT inatolewa katika mfumo wa simple interest au compound interest; yaani faida inakuwa inajumlishwa na mtaji au usipo nunua vipande...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Habari wanaJF, Ningependa kugusia kitu kabla sijaenda kwenye swali langu. Tukikumbuka mwaka Jana ama mwaka juzi vyuma vilipo anza kukaza watu wengi walikuwa wakilalamika pesa imepotea mtaani...
0 Reactions
0 Replies
706 Views
Katika thread yake Ontario mwenyewe amesema yuko tayari kutoa training na mentorship kwa wakazi wa Mwanza, Kagera, Mara na mikoa jirani yenye uwezo wa kufika Mwanza. Anachohitaji ni kuji-organize...
9 Reactions
81 Replies
11K Views
Tuanze na BILIONI 1. Naona watu wanaitajataja sana bila ufafanuzi wa kueleweka. . . Kuna wanaoifananisha na mikopo Ya elimu Ya Juu, wengine darasa katika shule. . . Nk. . . Ngoja Mimi niiseme...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu heshima kwenu, Humu najua ni wajuzi wa kuelimishana mambo mengi, Kufuatia mabadiliko ya kibiashara kwa sasa, biashara zimebuniwa nyingi za kuingiza vipato, naomba kujuzwa faida ya biashara...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…