wirewizard
Member
- Feb 14, 2014
- 75
- 56
Ndg...Wana Jf...Mimi ni mkulima Nina pump mpya...Aina ya Sansan...ya petrol horse power 5...Natumai kuvuta majitoka bwawani kuna Kwenye Karo la Kumwagilia...Nashangaa Leo ghafla Mora inazunguka..lakini haivuti Maji..!!!!!...Tatizo sijui ni Mimi....wakati Jana ilikuwa ni nzima nilivuta Maji kama kawaida...Naomba msaada Kutoka kwa wataalam Kwenye kujua nifanye nini..???Niko mbali sana shambani...!!!
Msaada jamani...?????;
Msaada jamani...?????;