kamikaze tz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2017
- 232
- 174
Wakuu heshima kwenu,
Humu najua ni wajuzi wa kuelimishana mambo mengi, Kufuatia mabadiliko ya kibiashara kwa sasa, biashara zimebuniwa nyingi za kuingiza vipato, naomba kujuzwa faida ya biashara za mitandao ya kijamii, kama vile Forum au blogs, nikiwa namiliki napata faida gani? Au ni kutegemea matangazo tu?
Humu najua ni wajuzi wa kuelimishana mambo mengi, Kufuatia mabadiliko ya kibiashara kwa sasa, biashara zimebuniwa nyingi za kuingiza vipato, naomba kujuzwa faida ya biashara za mitandao ya kijamii, kama vile Forum au blogs, nikiwa namiliki napata faida gani? Au ni kutegemea matangazo tu?