PAZIA 3 JF-Expert Member Jan 30, 2018 1,074 1,853 Mar 13, 2018 #1 Kama kuipata ni tatizo,mimi ninayo,ila ipo katoro,unaitaji kuwa na hela ya kuanzia,ukipenda,ni Pm ntakuelekeza vzr
Kama kuipata ni tatizo,mimi ninayo,ila ipo katoro,unaitaji kuwa na hela ya kuanzia,ukipenda,ni Pm ntakuelekeza vzr
ema nuel JF-Expert Member Nov 12, 2017 570 576 Mar 13, 2018 #2 Boda siku hizi hazilipi wala huwez tegemea kama ajira
casanova69 JF-Expert Member Sep 14, 2015 2,358 2,144 Mar 13, 2018 #4 inaonekana unauza pikipiki uliyokuwa unaitumia kwa bodaboda.