Heshima kwenu Wakuu,
Tafadhari naomba kufahamishwa Vibali vinavyohitajika ili mtu aruhusiwe kutoa huduma ya fumigation. Pia kama kuna taratibu zozote za kufuata au vigezo anavyopaswa kuwa navyo...
Mr. Ali Mufuruki is the Executive Chairman of InfoTech Investment Group LTD, based in Dar es Salaam, Tanzania. The family owned Infotech Investment Group Limited has controlling interests in M&M...
Poleni na shughuli za utafutaji wajasiriamali.
Mimi ni kijana mjasiriamali,kwa sasa natengeneza sabuni za maji na pia Niko mbioni kutengeneza za vipande na kisha mafuta ya ngozi na nywele...
Habari zenu wakubwa
Nimepata line ya kuingiza sukari Tanzania baada ya kukutana na wafanyabiashara hiyo Dubai (sukari haitokei Dubai bali hawa jamaa wana base hapa)
Naweza kupewa tani nitakazo...
Habarini wadau
Naomba were useful, njia ipi ni rahisi na bora kupokea pesa online ukiachana na Skrill, net teller wallets na western Union, Nani wengine ni Bora na hawana usumbufu?
Sent using...
Fake S-26 Breast Milk Substitute invades East Africa
Fake S-26 Breast Milk Substitute has been spotted being sold in East African supermarkets and shops. S-26 which is the most popular BMS...
Habari wakuu,, natumaini ni wazima wa afya njema,, kwa wenye matatzo Mungu awafanyie wepesi mpone tuendelee na harakati za kujikwamua kimaisha.
Naitwa Brown Job wazo langu kuhusu biashara ya...
Habari,
Mimi ni kijana mwenzenu mwenye ndoto ya kufanikiwa nakufika mbali kimaisha na kusaidia watu wasiojiweza,watoto yatima,mama wajane,wazee wasiojiweza.
Nimemaliza Chuo kikuu mwaka 2015,kwa...
Wadau heshima kwenu..
Kichwa cha habari hapo juu kinahusika kwa asilimia zote 100%
Wajuvi wa busness Nikiwa na mtaji wa Million 10 biashara gani naweza kuifanya nikiwa nchini Marekani?
Kijiji Kimoja Alikuja Mchina Akasema Anahitaji Paka (Cat/ Nyau)[emoji250],
Ananunua Mmoja Kwa Bei Ya 20,000/=, Basi
Wanakijiji Wanahaha Kusaka Paka[emoji250],
Wanawaleta, Mchina Ananunua Wote...
Habar wadau?
Mimi nina kqmpuni,nina ofisi kubwa ,nina vibali vya kufanya kazi za serikali kweny taasisi zake!
Wakati nafungua nilikuwa natafta wau nipate 10m kwa ajili ya biashara ya lending...
Naomba nifahamu changamoto na faida ya kufuga mbuzi kibiashara.
Maana leo nimetazama kwenye TV habari kwamba mbuzi wa elfu sabini ameuzwa lakj na sabini.
Hivyo nimetamani kufuga mbuzi kuanzia leo
Mimi si mtaalamu wa uchumi lakini naweza kusoma nyakati, kiukweli umma hauna pesa mifukoni hali ambayo kimsingi inatokana na utekelezaji wa serikali iliyopo madarakani (Maisha yamebana bhana)...
Wadau wengi nliopata kuzungumza nao walio fanikiwa kupitia mikopo walineleza kanuni moja ambayo waliitumia mpaka kufikia mafanikio waliyo nayo (nao waliipata jwa wataalamu wengine waliokwisha...
Hapa naongelea biashara zote ambazo zinakatazwa na Serikali kama vile bangi, madawa ya kulevya, biashara za watu n.k
Ukianza kufanya hizi biashara utakuwa tajiri sana.
Naombeni wenye ujuzi wa...
Tatizo la wabungo hili
Mbongo alieajiriwa ofisini, mwenye kipato cha shilingi laki tano au pungufu kwa mwezi anamdharau mtu aliejiajiri kuuza nyanya anaepata kipato cha mpaka millioni 2 kwa...
August 23, 2028
LONDON -- Aminex has provided the following update on its operations in Tanzania.
Ruvuma PSA
The tendering process for a rig to drill Chikumbi-1 (CH-1) is now complete and the...