Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Heshima kwenu Wakuu, Tafadhari naomba kufahamishwa Vibali vinavyohitajika ili mtu aruhusiwe kutoa huduma ya fumigation. Pia kama kuna taratibu zozote za kufuata au vigezo anavyopaswa kuwa navyo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
JE UNASHAURI MTU ANAYETAKA KUJIHUSISHA NA HII BIASHARA AANZE KUJIFUNZA NINI?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mr. Ali Mufuruki is the Executive Chairman of InfoTech Investment Group LTD, based in Dar es Salaam, Tanzania. The family owned Infotech Investment Group Limited has controlling interests in M&M...
6 Reactions
125 Replies
43K Views
Poleni na shughuli za utafutaji wajasiriamali. Mimi ni kijana mjasiriamali,kwa sasa natengeneza sabuni za maji na pia Niko mbioni kutengeneza za vipande na kisha mafuta ya ngozi na nywele...
1 Reactions
9 Replies
9K Views
Habari zenu wakubwa Nimepata line ya kuingiza sukari Tanzania baada ya kukutana na wafanyabiashara hiyo Dubai (sukari haitokei Dubai bali hawa jamaa wana base hapa) Naweza kupewa tani nitakazo...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Habarini wadau Naomba were useful, njia ipi ni rahisi na bora kupokea pesa online ukiachana na Skrill, net teller wallets na western Union, Nani wengine ni Bora na hawana usumbufu? Sent using...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Fake S-26 Breast Milk Substitute invades East Africa Fake S-26 Breast Milk Substitute has been spotted being sold in East African supermarkets and shops. S-26 which is the most popular BMS...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Habari wakuu,, natumaini ni wazima wa afya njema,, kwa wenye matatzo Mungu awafanyie wepesi mpone tuendelee na harakati za kujikwamua kimaisha. Naitwa Brown Job wazo langu kuhusu biashara ya...
1 Reactions
11 Replies
8K Views
Habari, Mimi ni kijana mwenzenu mwenye ndoto ya kufanikiwa nakufika mbali kimaisha na kusaidia watu wasiojiweza,watoto yatima,mama wajane,wazee wasiojiweza. Nimemaliza Chuo kikuu mwaka 2015,kwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau heshima kwenu.. Kichwa cha habari hapo juu kinahusika kwa asilimia zote 100% Wajuvi wa busness Nikiwa na mtaji wa Million 10 biashara gani naweza kuifanya nikiwa nchini Marekani?
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Kijiji Kimoja Alikuja Mchina Akasema Anahitaji Paka (Cat/ Nyau)[emoji250], Ananunua Mmoja Kwa Bei Ya 20,000/=, Basi Wanakijiji Wanahaha Kusaka Paka[emoji250], Wanawaleta, Mchina Ananunua Wote...
12 Reactions
19 Replies
5K Views
Habar wadau? Mimi nina kqmpuni,nina ofisi kubwa ,nina vibali vya kufanya kazi za serikali kweny taasisi zake! Wakati nafungua nilikuwa natafta wau nipate 10m kwa ajili ya biashara ya lending...
0 Reactions
5 Replies
798 Views
Naomba nifahamu changamoto na faida ya kufuga mbuzi kibiashara. Maana leo nimetazama kwenye TV habari kwamba mbuzi wa elfu sabini ameuzwa lakj na sabini. Hivyo nimetamani kufuga mbuzi kuanzia leo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, naomba mwenye uelewa wa kununua kupitia Alliexpress naomba msaafa plx. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari Naomba kuuliza hivi kwa kutumia usafiri wa ndege inachukua muda gani kutok Dar es salaam mpak Kigali-Rwanda? Na ni ndege zip zina root hyo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi si mtaalamu wa uchumi lakini naweza kusoma nyakati, kiukweli umma hauna pesa mifukoni hali ambayo kimsingi inatokana na utekelezaji wa serikali iliyopo madarakani (Maisha yamebana bhana)...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau wengi nliopata kuzungumza nao walio fanikiwa kupitia mikopo walineleza kanuni moja ambayo waliitumia mpaka kufikia mafanikio waliyo nayo (nao waliipata jwa wataalamu wengine waliokwisha...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hapa naongelea biashara zote ambazo zinakatazwa na Serikali kama vile bangi, madawa ya kulevya, biashara za watu n.k Ukianza kufanya hizi biashara utakuwa tajiri sana. Naombeni wenye ujuzi wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tatizo la wabungo hili Mbongo alieajiriwa ofisini, mwenye kipato cha shilingi laki tano au pungufu kwa mwezi anamdharau mtu aliejiajiri kuuza nyanya anaepata kipato cha mpaka millioni 2 kwa...
1 Reactions
2 Replies
820 Views
August 23, 2028 LONDON -- Aminex has provided the following update on its operations in Tanzania. Ruvuma PSA The tendering process for a rig to drill Chikumbi-1 (CH-1) is now complete and the...
0 Reactions
0 Replies
506 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…