Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Naombeni ushauri nima studio ya kupiga picha tayari ila natumia TIN number ya jina langu na ninalipa kodi TRA kupitia tin namba hiyo lkn sasa nataka nikachukue leseni ya biashara sasa ktk fomu ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni mdau wa benki husika ambaye nimeanza kufuatilia mkopo wa biashara kulingana na matangazo yao kuwa wameboresha huduma zao pia muda wa kuomba mkopo umepungua hadi wiki 2 iwapo utakidhi...
2 Reactions
14 Replies
7K Views
Leo naomba mnitoe ushamba kidogo, jamani hivi wanaposema uchumi wa kati hua wanamaanisha nini? Kwani kuna level ngapi za uchumi?
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Katika Watanzania 500 badi 457 wanalia hali mbaya ya Uchumi a.k.a Vyuma Vimekaza halafu hapo hapo tena kuwa Watu wanathubutu kabisa Kujenga Maghorofa makubwa makubwa ya Kupangisha ( Apartments)...
3 Reactions
57 Replies
6K Views
Napenda kujua Serikali inatumia kanuni gani kukadiria Kodi ya Madini mbalimbali ambayo Mteja katoka nje kaja kununua ndani ya nchi, sasa anataka kulipia Kodi ili aondoke na Madini yakiwa na...
1 Reactions
2 Replies
915 Views
Mwanahistoria na Mdau wa Maendeleo, Francis Daudi amefanya Tafiti kuhusu Mahusiano ya Kiuchumi kati ya Tanzania na India toka Mwaka 1960. Kufahamu mahusiano hayo, fursa za kiuchumi zilizopo kwa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habar ya jion wakuu?? Baada ya kupigapigana na kufilisika huko niliko kuwa kwenye biashara zangu za mbao niliamua kurudi home na kwa maana kwa muda sana nilikuwa nashamba nilinunua kipindi nipo...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Msomi wa Shahada ya Uzamili ya Uhasibu na Fedha katika Mafuta na Gesi Asilia, Leonard Constantine Amefanya ‘Risachi’ kuhusu Ushiriki wa Wafanyabiashara Wadogo na wa Kati (Micro, Small, and Medium...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nijuzeni natarajia kusafiri muda so mrefu najiuliza je Pesa nachenjiwapi? Naje benk za Kenya ukiingia na kadi ya Tz unapatahuduma?
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanajamii wenzangu, Ningependa kupata mawazo hasa kutoka kwa wajasiriamali. Mimi nimekuwa mchimbaji mdogo katika eneo moja hapa nchini kwa miaka 9. Kwa bahati, wiki iliyopita nilipata...
3 Reactions
142 Replies
21K Views
Wasalamu, hizi ni terminology za TRA.nafahahamu TIN lakin VRN sifahamu wala sijui faida za kuwa nayo wala hasara za kutokua nayo.naomba kupewa shule jaman!
0 Reactions
12 Replies
22K Views
Wanajamvi Amani kwenu. Tafadhali kwa yeyote mwenye kuijua taasisi ya kifedha au kampuni inayoitwa CGI (Magellan international) anipe mwanga jinsi inavyofanya kazi. Ninatanguliza shukurani.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana jf wenzangu naomba mnisaidie kwa hili maana nimekaa nikijiuliza sana bila kupata jibu hivi kweli soko la hela za kizamani lipo au ni utapeli tu? Maana hii habari nimeisikia kitambo sana kuwa...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Nauza tecno W3 Ambae anaitaji anicheki kwa namba 0757983094 ila uwe mkazi wa dar
0 Reactions
5 Replies
764 Views
Jamani humu ndani,kuna kifaa ninataka kuagiza ulaya au marekani, nimenge na maduka mbali mbali na makampuni ya usambazaji nimeambiwa hawawezi sababu hicho kifaa hakijawa-registered na TFDA.sasa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa. Katika pitapita zangu za mihangaiko nimekuwa nikifuatilia namna ya kupata Madini tajwa hapo juu. lengo langu ni kununua toka nje ya nchi kwa wachibaji wadogo kisha kuja kuuza...
3 Reactions
20 Replies
13K Views
Heshima kwenu wakuu, wakati tunaenda kumalizia malizia mwaka juzi J5 ilikuwa siku nzuri kwa jeff bezos ambapo report iliyotelewa na shirika la bloomberg ilionyesha yafuatayo:- >Amazon ilipata...
9 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari wana JF Nina wazo moja la biashara ambalo naomba ushauri. Wazo langu ni hili nataka niwaunganishe wauzaji na wanunuaji wa mazao na mifugo kwa njia ya mtandao. Nina uelewa na Blogs hivyo...
7 Reactions
61 Replies
8K Views
2. USIZITUMIKIE PESA(don't work for money). hii ndio siri namba mbili baada ya kuangalia ile namba moja na mkubwa kuliko zote.kunawatu wanaamini kuwa wakijibidisha na kujitesa kwakufanya kazi...
5 Reactions
15 Replies
10K Views
Habari za Muda Huu Mkuu? Kumekuwa na mijadala mingi sana katika jamii hasa kwa vijana wanaopambani kutafuta maisha. Jambo lenyewe liko hivi:- Mara nyingi vijana wanapoanza kuona mwezi {pesa}...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…