Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Naombeni ushauri je ununuaji wa hisa unalipa maana kuna bank inauza hisa 265 tsh hisa moja je inalipa na wataka ununue hisa kwanzia 100 je naombeni ushauri ununuaji wa hisa unalipa Sent using...
0 Reactions
1 Replies
832 Views
Msije sema hamku tahadharishwa! Kinachotokea ni hiki hapa: unanunua line iliyosajiliwa kwa jina la mtu mwingine, nawe kuanza kuifanyia biashara. Nimesikia ( sina uhakika) kinachotokea ni kwamba...
2 Reactions
9 Replies
9K Views
Wana jamvi naomba niwasilishe mada hii kama kijana ambae nataka na napenda sana kufanya biashara changamoto kubwa niliyokua nayo. 1. Ni biashara gani ya kufanya 2.eneo la kufanyia biashara...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimeshangaa sana kusikia tangazo la Tatu Mzuka ambalo jamaa anamshanga muuza duka kujaza vitu dukani na anamwita ni Freemason. Yaani nyie Tatu Mzuka mnawezaje KULINGANISHA UTAJIRI NA FREEMASONS...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mara nyingi kwa level ya taifa kuna baadhi ya sector za biashara zinaonekana kama ndo zina msaada mkubwa kwenye uchumi wa nchi.. Kwa wana JF w unavozan n sector gan zina mchango mkubwa katika...
0 Reactions
2 Replies
881 Views
Habari zenu, wapendwa Nina Noah yangu nataka kufanya biashara ya kubebea abiria ndani ya mkoa Wa dar ukiacha kwenda mjini ni njia gani naweza kubebea abiria mfano kama kimara Na goba au maeneo...
0 Reactions
21 Replies
48K Views
Habarini Wanajf! Bila kupoteza muda naomba mwenye uelewa wa hatua za kufuata ili kupata mkopo wa biashara katika Benki ya NMB.Mimi ni mjasiriamali,ninataka nikope ili niongeze Mtaji.Msaada wenu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kuna mahala nimepata pakuweka daycare centre na watoto ni wengi kiukwel sasa wasiwasi wangu ni kugombana na serikal. Naomben msaada procedure za kufata nisajili daycare. Niende wap? Nahitaji...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari wanajukwaa, Natumai mwaka tumeuanza Salama Salmini.Mwanzoni mwa mwaka mambo hua mengi baada ya mapumziko kuna Ada za Watoto kuna mambo ya Kodi na kadhalika, Inabidi kujipanga vizuri...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Kama uandaaji wa vitabu vya kodi kwa upande wa mfanya biashara je huandaliwa sawa na vitabu/makabati (samahani kwenye A/C ndivyo tulikuwa tunaziita) vya/ya income statement na balance sheet ?? Na...
0 Reactions
1 Replies
924 Views
Wakuu Sina mengi ya kuwachosha nipende kuchukua fursa hii kuwapa Hamasa ndugu zangu; kaka zangu, Dada zangu, mama zangu, Baba zangu nk. Kama Kuna mtu Ana softcopy ya kitabu cha poor dad rich dad...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarin wakuu Kwa anaefaham nauli ikoje anifahamishe kutoka lusaka(zambia) had gaborone(botswana) pia maisha ya botswana yako vp kiujumla,karibun Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
631 Views
The World Food Programme (WFP) yesterday signed a contract to purchase at least 36,000 tonnes of maize from Tanzania at a ceremony that was also witnessed by President Dr. John Pombe Magufuli...
0 Reactions
0 Replies
650 Views
Kwa mujibu wa TCCAA sababu kubwa iliyopelekea kusitishiwa Leseni ni deni la bil.6 inalodaiwa na wadeni wake. Naomba kuuliza kwa mnaofahamu , hivi ATCL iliwalipa kwanza wadeni wake ndo ikaruhusiwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nashindwa elewa kwa watu baadhi kwao wazo la biashara eti ni tatizo Wana Jf what is your comment on this
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Mauzo ya bidhaa za kitanzania katika nchi za SADC yameripotiwa kuongeza maradufu katika mwaka 2017/18 ikilinganishwa na hapo nyuma, kwa mujibu wa ripoti ya BOT ya economic operations annually ya...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Natumaini mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku wanajanvi, Naombeni msaada kwa wanaojua jinsi ya kutengeneza mishumaa, shampoo na sabuni za kipande. Malighlafi zinazohitajika na gharama za...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Ndugu zangu natangaza biashara ya vitunguu ambavyo bado vipo shamba ila mwisho wa mwezi huu vitakua tayari Eneo ni tarime mkoa wa mara. Hecta 2 tuu. Asanteni sana. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Jamani wana JF kama naweza kupata mlolongo mzima wa namna ya kupata laini hizi za uwakala, asanteni jumaa njema Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Awali ya yote napenda kumshukuru mola kwa kutufikisha 2019 mimi na wewe unaesoma hapa. Basi niishie hapo na kusema hali ni tete hamna ajila pesa saivi ipo ikulu sasa mie sitaki kusubili nipewe...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Back
Top Bottom