mynah
Member
- Sep 8, 2018
- 59
- 89
Wana jamvi naomba niwasilishe mada hii kama kijana ambae nataka na napenda sana kufanya biashara changamoto kubwa niliyokua nayo.
1. Ni biashara gani ya kufanya
2.eneo la kufanyia biashara
Wakuu Mimi still ni mwanafunzi wa chuo na Nina Stoke ya 700k ndo nauliza nifanye biashara gani ili nijikwamue nipo dar-es-salaam msaada wenu wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Ni biashara gani ya kufanya
2.eneo la kufanyia biashara
Wakuu Mimi still ni mwanafunzi wa chuo na Nina Stoke ya 700k ndo nauliza nifanye biashara gani ili nijikwamue nipo dar-es-salaam msaada wenu wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app