Naomba msaada kuhusu changamoto hizi kwenye biashara

mynah

Member
Sep 8, 2018
59
89
Wana jamvi naomba niwasilishe mada hii kama kijana ambae nataka na napenda sana kufanya biashara changamoto kubwa niliyokua nayo.
1. Ni biashara gani ya kufanya
2.eneo la kufanyia biashara

Wakuu Mimi still ni mwanafunzi wa chuo na Nina Stoke ya 700k ndo nauliza nifanye biashara gani ili nijikwamue nipo dar-es-salaam msaada wenu wakuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana jamvi naomba niwasilishe mada hii kama kijana ambae nataka na napenda sana kufanya biashara changamoto kubwa niliyokua nayo.
1. Ni biashara gani ya kufanya
2.eneo la kufanyia biashara

Wakuu Mimi still ni mwanafunzi wa chuo na Nina Stoke ya 700k ndo nauliza nifanye biashara gani ili nijikwamue nipo dar-es-salaam msaada wenu wakuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda ilala point vinguo na skin jeans za wadada wakati boom limetoka kauze chuo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom