Wazo la biashara hivi na lenyewe ni tatizoo???..

C_O

Member
Jan 3, 2019
54
33
Nashindwa elewa kwa watu baadhi kwao wazo la biashara eti ni tatizo
Wana Jf what is your comment on this
 
Ndio ni tatizo
Kitu chochote kama hujawahi kukifanya kinaweza kuwa tatizo maana hujui jinsi ya kufanya, na hapa unazungumzia mfanyabiashara ambae lengo lake ni faida, kwan hujawah kuulizwa na dogo asome combi gani wakat yeye ndio anasoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya kuanza biashara inashauriwa kufanya utafiti kwanza, Wazo la biashara ni sehemu ya utafiti, Unaweza ukawa na wazo lakini baada ya utafiti ukapata wazo bora zaidi.
 
Kitu kimoja tu sikipendi kwenye umasikini Kudharilika yaani unaonekana hufai na hujui chochote duniani.
 
  • Thanks
Reactions: C_O
Katika ulimwengu wa biashara kuna vitu vinne tofauti ambavyo wewe kama ni mpya kwenye ulimwenguu huu (japokuwa ni vitu ambavyo vipo deep watu wengi hawaongelei kwa bongo yetu)..

Kuna speculation,invention,innovation na business yenyewe kama kitabu cha peter drucker kinavyosema (entrepreneurship and innovation)

Kama ujaelewa unataka nielezee zaid basi nijulishe
 
mkuu mawazo ya biashara ni tatizo kwa wengi mie napenda sema tatizo la mtaji, ndio ni tatizo la mtaji ila ni mtaji fikra/wazo la biashara ila jingine ni mtaji fedha, walopata elimu ya biashara kidogo kwao inakuwa nafuu maana elimu inawakombo kwa kiasi ila chukulia mtu alikuwa baharia maisha yake mengi ni majini ukimwambia wazo la biashra kwanza anashangaa hajui hata pa kuanzia sie tunaotoe elimu ya bishara tunakumbana sana na hayo

mstaafu amepata fedha zake na hajuu cha kuzifanyia ambacho kitampatia fedha za kusukuma maisha yake, unakuta mtu hajawahi kufanya biashara ujana wake wote na hajawahi hata kujaribu so inakuwa ni ngumu kuwa na hata wazo la biashara na hata akiwa nalo hafahamu ka ilo wazo akilifanyia utekelezaji litampa kipato/faida ama la!
 
mkuu mawazo ya biashara ni tatizo kwa wengi mie napenda sema tatizo la mtaji, ndio ni tatizo la mtaji ila ni mtaji fikra/wazo la biashara ila jingine ni mtaji fedha, walopata elimu ya biashara kidogo kwao inakuwa nafuu maana elimu inawakombo kwa kiasi ila chukulia mtu alikuwa baharia maisha yake mengi ni majini ukimwambia wazo la biashra kwanza anashangaa hajui hata pa kuanzia sie tunaotoe elimu ya bishara tunakumbana sana na hayo

mstaafu amepata fedha zake na hajuu cha kuzifanyia ambacho kitampatia fedha za kusukuma maisha yake, unakuta mtu hajawahi kufanya biashara ujana wake wote na hajawahi hata kujaribu so inakuwa ni ngumu kuwa na hata wazo la biashara na hata akiwa nalo hafahamu ka ilo wazo akilifanyia utekelezaji litampa kipato/faida ama la!
Kwa fikra zangu nazani pia itategemeana na lengo la mtu kufanya biashara na sijui kwann watu wengi wakiongelea biashara wanachofikiria ni faida tu biadhara ni zaid ya faida lakin kma nlvoo sema inafwatana na malengo ya mtu husika ndo maana they say kuna tofauti kati ya self employed (mtu aliejiajiri) na entrepreneur (entrepreneur sijui kwa kiswahili ni nini)
 
Kwa fikra zangu nazani pia itategemeana na lengo la mtu kufanya biashara na sijui kwann watu wengi wakiongelea biashara wanachofikiria ni faida tu biadhara ni zaid ya faida lakin kma nlvoo sema inafwatana na malengo ya mtu husika ndo maana they say kuna tofauti kati ya self employed (mtu aliejiajiri) na entrepreneur (entrepreneur sijui kwa kiswahili ni nini)
mkuu twende mbele turudi nyuma lengo kuu la biashara ni faida hayo mengine ni mbembe tuu ijapokuwa mjasiriamali anapaswa kujua biashara ina faida na hasara na lazima awe risk taker ili aweze anzisha biashara ama kitu kipya alichokiwaza maana wote twajua mjasiria mali na mfanyabiashara ni watu wawili tofauti
 
mkuu twende mbele turudi nyuma lengo kuu la biashara ni faida hayo mengine ni mbembe tuu ijapokuwa mjasiriamali anapaswa kujua biashara ina faida na hasara na lazima awe risk taker ili aweze anzisha biashara ama kitu kipya alichokiwaza maana wote twajua mjasiria mali na mfanyabiashara ni watu wawili tofauti
Nakubaliana na wewe kabisaa maana biashara bila faida haiwezi operate ila kwa entrepreneurial mindset kufikiria faida in a first place ni mala chache kinacho matter in a first place ni vision thats why startup nyingi znaa anza kupata faida baada ya miaka miwili au zaid kuendana na ulivyo iscale biashara yako mfano mzuri uber and tesla again inafuatana na scaling ya biashara usika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom