Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Nataka kuitoa huko Alibaba nipeni mchakato jamani Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Iapo serikali itawawezesha wananchi kurasimisha shughuli mbalimbali za kibiashara na kiuchumi na kuwa wezesha wajasiriamali kupata huduma za kitaalamu,mitaji pamoja na fursa za masoko ya nje na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini say Asubuhi wadau wote wa JF hususan wabobezi katika hii. kona maalum ya Uchumi, Kama kichwa kinavyojieleza, nimekuwa nikiona vitega Uchumi vingi katikati ya mji (kwa maana ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu... Kwanza niwashukuru sana kwa kusoma huu uzi. Nataka kufahamu hizi biashara za networking ni ipi bora zaidi maana kila siku inaibuka mpya juzi kati kuna jamaa yangu alinialika...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Naomba kuuliza hivi ela za Oman aina ya baisa INA maana hazitumiki huko omani na kwanini Tanzania wanakataa kubadili Baisa, Ila wanakubali Riyal INA maana baisa hazitumiki tena au hazitumiki tz...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habarin za mida hii, naomba kupata mtu/watu/taasisi wanaojihusisha na kutoa mikopo kwa riba nafuu, nipo Dar es salaam Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wanaotoa bidhaa China au popote duniani, iwe nguo aina zote, viatu nk naombeni mmoja wenu atakaeniamini tufanye nae biashara,mi ni mwenyeji sana nchini Msumbiji, bidhaa toka Tanzania...
0 Reactions
24 Replies
13K Views
Hod humu jukwaan,..mimi n mjasiriamali ambae hapo mwanzo nlijisajiri na kupewa tin namba tra..na nimekuwa mlipaji mzuri tu wa kodi,..miezi michache iliyopita likaja tangazo la kwamba wote wenye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naona zantel kupitia hisa 85% za Et El Salat imenunuliwa na Millicom ambayo ni kampuni mama ya Tigo Tanzania.Ila jina la kampuni litabaki kama Zantel na vile vile Serikali ya Zanzibar...
0 Reactions
44 Replies
11K Views
Habari za mwaka mpya Wana JF, mwaka ndo umeanza tutafte pesa kwa namna yeyote ile, Tuache uoga athari za umaskini ( dhiki) ni chungu mithiri ya Moto wa jehenamu.
22 Reactions
100 Replies
13K Views
Namtafuta huyu jamaa alijinasibu yupo Zanzibar anauza magari.Katika uzi wake alijinadi anauza magari.Sasa namba yake napiga haipatikani.Yeyote aliye karibu naye amfikishie ujumbe nna shida naye...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Na.amiri kilagalila mc.amiri,mr.mtaani Kwa mjasiliamali na mfanyabiashara yeyote Tanzania ukitaka uendelee kufanya shughuli zako kwa uhuru zaidi basi ujue tu lazima ufuate utaratibu. Ni kwambie...
3 Reactions
9 Replies
4K Views
Namaingo na mkakati wa kuunga mkono jitihada za Serikali kuboresha kilimo. Na, MOHAMED HAMAD-DAR ES SALAAM Serikali na mashirika ya umma hapa nchini, wamekuwa na mikakati mbalimbali ya kuboresha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za hapa,napenda kuwashirikisha biashara moja nzuri Kuna taasisi ya serikali inaitwa nhbra-national house building research agency,hawa wanatoa mafunzo jinsi ya kutengeneza vigae vya kupaua...
3 Reactions
14 Replies
5K Views
Kwema wakuu? Poleni na harakati za Januari hii.. Kutokana na ugumu wa maisha nataka kujilipua niingie migodini pande za Nyalugusu huko ila sina uzoefu na mazingira ya huko. Ningependa kupata...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Moja kwa moja kwenye Mada husika. Sifa za eneo hili nilipo Sasa la salon.. Salon nimeinunua mwaka Jana kutoka kwa mmiliki m1 ambaye yeye Hana hakua na miezi mingi. Pembeni hatua kias cha kutupa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nnatarajia kuanza maisha mapya Mwanza kama muajiriwa. Sasa nnataka jua naweza fanya biashara gani Mwanza kwa mtaji usiozidi 10 million?
1 Reactions
45 Replies
21K Views
Mabwana Kwema mm Ni kijana wa makamo Miaka michache iliyopita baada ya kumaliza shule na kukaa mtaani nikaona fursa moja Ni kujiajili na nilikuwa mtu mwenye Ndoto kubwa Sana ....I mean in the next...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hali ya upatikanaji wa mitaji ya biashara kwasasa hapa nchini ni mbaya sana hususani kwa wafanyabiashara wadogo wadogo, Serikali inapaswa kuangalia namna ya kuwekeza ktk mikopo ya kibiashara...
1 Reactions
0 Replies
621 Views
Wakuu habari, nahitaji mkopo wa million 3 niweze kutatua shida iliyonikaba sasa, narudisha baada ya miezi mitatu Kwa riba nafuu nitakayoambiwa, dhamana ni kiwanja cha sqm 1000 kipo Kigamboni...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Back
Top Bottom