Wadau naona zantel kupitia hisa 85% za Et El Salat imenunuliwa na Millicom ambayo ni kampuni mama ya Tigo Tanzania.Ila jina la kampuni litabaki kama Zantel na vile vile Serikali ya Zanzibar...
Habari za mwaka mpya Wana JF,
mwaka ndo umeanza tutafte pesa kwa namna yeyote ile, Tuache uoga athari za umaskini ( dhiki) ni chungu mithiri ya Moto wa jehenamu.
Na.amiri kilagalila
mc.amiri,mr.mtaani
Kwa mjasiliamali na mfanyabiashara yeyote Tanzania ukitaka uendelee kufanya shughuli zako kwa uhuru zaidi basi ujue tu lazima ufuate utaratibu.
Ni kwambie...
Namaingo na mkakati wa kuunga mkono jitihada za Serikali kuboresha kilimo.
Na, MOHAMED HAMAD-DAR ES SALAAM
Serikali na mashirika ya umma hapa nchini, wamekuwa na mikakati mbalimbali ya kuboresha...
Habari za hapa,napenda kuwashirikisha biashara moja nzuri
Kuna taasisi ya serikali inaitwa nhbra-national house building research agency,hawa wanatoa mafunzo jinsi ya kutengeneza vigae vya kupaua...
Kwema wakuu?
Poleni na harakati za Januari hii..
Kutokana na ugumu wa maisha nataka kujilipua niingie migodini pande za Nyalugusu huko ila sina uzoefu na mazingira ya huko.
Ningependa kupata...
Moja kwa moja kwenye Mada husika. Sifa za eneo hili nilipo Sasa la salon.. Salon nimeinunua mwaka Jana kutoka kwa mmiliki m1 ambaye yeye Hana hakua na miezi mingi.
Pembeni hatua kias cha kutupa...
Mabwana Kwema mm Ni kijana wa makamo Miaka michache iliyopita baada ya kumaliza shule na kukaa mtaani nikaona fursa moja Ni kujiajili na nilikuwa mtu mwenye Ndoto kubwa Sana ....I mean in the next...
Hali ya upatikanaji wa mitaji ya biashara kwasasa hapa nchini ni mbaya sana hususani kwa wafanyabiashara wadogo wadogo,
Serikali inapaswa kuangalia namna ya kuwekeza ktk mikopo ya kibiashara...
Wakuu habari, nahitaji mkopo wa million 3 niweze kutatua shida iliyonikaba sasa, narudisha baada ya miezi mitatu Kwa riba nafuu nitakayoambiwa, dhamana ni kiwanja cha sqm 1000 kipo Kigamboni...
Ujasirimali ni uzinduzi, ubunifu na uendeshaji wa biashara then kuwa na uwezo pamoja na nia ya uendelezaji wa hiyo biashara.
Unapokuwa mjasiriamali inamaanisha unatakiwa kupitia mchakato wa...
Wakuu nina shida ya haraka nahitaji mkopo wa million 3,nitarudisha baada ya miezi mitatu, dhamana ni kiwanja chenye sqm 1000 kipo mwasonga Kigamboni. Nitashukuru kwa kila jibu nitakalopata
Sent...
Habarini za jion humu ndani.Mimi ni app developer based on android,nina apps zangu kadhaa nimelink na adsense ili kunipatia kipato nashukuru Mungu zimefika dollar kadhaa na google wameshanitumia...
1: Tumia pesa baada ya kuhifadhi, Usihifadhi pesa baada ya kutumia (spend money after saving, do not save after spending).
2: Jitahidi kuwa na mzunguko wa pesa wa mara kwa mara (passive income)...
Habari za Jpili JF, Nina wazo la kuanzisha Duka la kisasa la Dawa za mifugo, naishi eneo la wafugaji hivyo sina wasiwasi na wateja. Issue ni dondoo za biashara hii, mfn.Dawa za jumla zinanunuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.