Kenney
JF-Expert Member
- Dec 8, 2013
- 294
- 165
Habarini say Asubuhi wadau wote wa JF hususan wabobezi katika hii. kona maalum ya Uchumi, Kama kichwa kinavyojieleza, nimekuwa nikiona vitega Uchumi vingi katikati ya mji (kwa maana ya majengo ) ambayo mengi nasikia kuwa hujengwa na makampuni fulanifulani kwa mikataba maalum na wenye plot husika, swali langu hapo ni kwamba iwapo nina eneo ambalo lipo eneo zuri la kibiashara na sina uwezo wa kuliendeleza ila nahitaji wawekezaji wa aina hiyo ni hatua gani natakiwa nichukue au utaratibu gani wa kufanya ili na mimi nikabahatika kupata hilo zali! Sijui kama nimeeleweka? Naomba kuwasilisha!