Wakuu nimebabatiza pesa sehemu nataka ninunue gari kubwa kiasi nayo ISUZU BIG HORN mwenye kuijua vizuri:
1. Ulaji wa MAFUTA;
2. Spea zake;
3. Mafundi wetu wa Kibongo je wanaziwezea?
Msaada Kwa wadau kuhusu ubora wa magari haya, ni nunue Lipi kwanini.
Volkswagen Tiguan/touran
Honda crossroads
Nissan E-Trail
Toyota Premio
Nissan Dualis
Hawa jamaa kwa kweli wanajua wanachokifanya aise. Mercedes S Class ni dunia nyingine kwenye ulimwengu wa magari. Japo itatuchukua kama 20yrs kwa jamaa wa mtaani kwetu kumiliki gari kama hizi...
Wadau naombeni ushauri wenu,
Nataka kununua toyota rush,kwa matumizi binafsi na kwenda kazini.
Vipi kuhusu durability,spea,ulaji mafuta, mwendo barabarani, matatizo yake nk.
Wakuu Nina miaka 30 now skuwahi kujifunza baiskel Kama vijana wengine kwa sababu za kiumaskin nk.
Naomba kuuliza je inawezekana kujifunza pikipiki bila kujua kuendesha baiskel?
Kuna aliewahi...
Habari wakuu,
Nahitaji kufahamu hili suala la kuweka tinted kioo cha mbele naona siku hizi imekuwa kama fashion hapa Dar.
Swali langu mnapambana vipi na hawa jamaa wanaovaa nguo nyeupe...
Kiukweli huwa nasikitika sana nikikuta mtu anasema speed ya gari kubwa mathalani mabasi huwa ni kubwa kuliko speed ya gari ndogo. Unaweza kupitia comments za post niliyoiweka hapo juu.
Hoja yao...
Wakuu nauliza kipi kiliwafanya Hawa jamaa waweke Engine kubwa kwenye Kluger? Yaan nikiwaza ukubwa wa engine Bora nilipuke na Nissan Xtrail 1990cc angalau sitawatajirisha wauza mafuta
Kluger...
Wakuu msaada tutani, accelerator kuna kipindi inakwama kukanyagika, hasa baada ya kutoka kukanyagia mwendo kiasi, ukiachia ili upige pulling tena inabaki kwa juu mpaka uipige pige na mguu mara...
Wakuu baada ya kutumia version ya nyuma kwa miaka10, sasa ninataka kubadili model ninunue hii.
Uzoefu upoje kwenye kodi ikizingatiwa ni gari ina miaka6 toka iundwe na costs zake ni$10,000 hadi...
Wakuuu nimejichangachanga nataka kuagiza Toyota Raumu naomba wataalam msaada wa mambo mawili
1. Naomba waliowahi kununua gari kupitia Hizi website mbili
Realmotor.jp na
Sbimotor.com
Nimeangalia...
Wakuu, hongereni na poleni na majukumu ya kimaisha.
Mimi katika harakati zangu za kimaisha sijawahi kumiliki gari hata siku moja, ila nimejichanga nina kiwango cha kiasi kama milioni 11 ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.