Sijui tunafeli wapi wanazengo ila kimsingi natamani sana kama tungeanza kuhamia huku mdogo mdogo.
Hii gari ni ya usd 8000 tu roughly kama 18.5m hivi kwa wanaonunua gari za 25-30M naona kama hii...
Wajameni,
Kuna jamaa yangu katoka mkoani juzi, kaja na tuhela twake anataka kununua kausafiri. Amenitonya kuwa anazo TZS 5 mil lakini anaweza kujitanua (ku-stretch) hadi TZS 6 mil.
Juzi...
Dizeli oyee,
Katika kupambana na bei ya petroli kwenye pitapita nimeona gari zinauzwa zikiwa tayari na mfumo CNG kutoka Japan japo nyingi zinaonekana zinatumika kwa wingi na waitaliano, hizi...
Habari wadau wa jamiiforums,
Nimetokea kuipenda hii FORD ESCAPE XLT 2008, hizo chini ndiyo specs zake naombeni ushauri juu ya mafundi, spares na changamoto za gari hii. Thanks.
SPECS...
Nimetoka sehemu na gari yangu, kufika home nacheki tairi ya nyuma kushoto, dah yote imelowa oil
Kumwita fundi anasema ni oil ya diff, seal ya ekseli imekufa.
Nikicheki mfukoni, mambo yako ovyo...
Habari wana jamvi!
Kuna hii gari pendwa katika jiji la dar es salaam, inayoshika kask sana kwa kununuliwa kama njugu.. wao wanaiita “dar sweetheart”.. si nyingine bi ni “Nissan Dualis”.
Nakumbuka...
Nina Rav4 yenye engine ya 3S-FE kila nikiwasha ninapokanyaga accereletor Inapoteza nguvu kwenye carburetor Sasa sijui kama ni sensor au kipi.
Pia kama ni throtter au RPM Sensor zinaweza kuwa na...
Wakuu tukienda moja kwa moja kwenye mada, nipo kwenye mchakato wa kubadili kababy walker kangu hivyo basi katika pita pita zangu huku na kule mtandaoni nikakutana na huyu mnyama anaitwa Nissan...
Habari wapendwa, kuna kiusafiri aina ya toyota VITS new model chenye ingine ya piston 3 , kinashida ifuatayo:-
👉 Ukipanda mlima kinapoteza nguvu na kuwa kama kina kwikwi, kama kina taka kuzima...
Natamani kuwa na Gari kubwa nzuri kwaajili ya matumizi binafsi.
Hapa natamani kujua Gari ipi nzuri kwa kuangalia vitu vifuatavyo.
1. Uimara
2. Matumizi ya mafuta
3. Service
4. Muonekano
Najua...
Nimejiuliza hivi kwa sababu ni kawaida kusafiri ndani ya basi lenye abiria zaid ya sitini bila hata mmoja kufungua kioo cha dirisha.
Na pia ukifungua wa siti ya nyuma analalamika upepo unampuliza...
Naomba ushauri kati ya FAW na shackman ipi gari nzuri katika biashara ya building materials kama kokoto mchanga n.k katika ubora na upatikanaji wa vifaa
Habari .nataka kuchukua mkopo wa truck naomba ushauri kati ya FAw na schackman hipi ni gari nzuri katika uimara au ubora na upatikanaji wa spare,biashara ya mchanga,kokoto,na construction work...
Waungwana naomba kuwasilisha hoja ni gari gani ni imara zaidi kwenye rough roads nataka kupigia kazi na kupenya maeneo sumbufu
Vanguard
Kluger
Harrier
X-trail
Wakuu habarini za jioni
Msaada wakubwa mwenye kujua ama Idea wapi kwa Dubai naweza pata used spare kwa magari tofauti kwa ajili ya kuleta bongo. Na siyo mbaya ukashare experience pamoja budget...
Ipi pora kati ya land cruiser Prado 2015 vs Vw tourage with ther same registration years
Ipi bora kwere fuel consumption
Of road and onroad stabilic durability etc
Wataalamu naombeni elimu wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.