Niliuziwa pikipiki na serikali.
Sasa Nataka kuisajili Binafsi.
Nimeshapata hati ya mkaguzi wa na gari [Vehicle Inspector] kuidhininisha kuuziwa/kuinunua.
Je hatua gani inafuata?
Msaaada wenu,
Niko mkoani barabara za vumbi naitaji kununua gari kwa ajili ya familia na binafsi gari iwe naulaji mzuri wamafuta pia iwe na muonekano mzur na pia uimara wa body.
Wanajf , nawasalimu.
Leo tena ningependa tukumbushane mambo haya ya msingi kwenye magari yetu.
Ambazo huchangia kwa kiasi kikubwa matumizi makubwa ya mafuta au ya wastani.
Moja kati ya njia...
Ninahitaji gereji nzuri ya gari aina ya Nissan iliyo mjini Bukoba, Geita au jijini Mwanza.
Natamani iwe yenye wajuzi wa kutengeneza gia boksi na injini.
Nimenunua gari DSM harria ya mwaka 2003. Naomba kujua gharama ya kusafirisha kwenda Mwanza. Mafuta lita ngapi? Dereva analipwa bei gani kulipeleka Mwanza. Ipi rahisi kuliendesha au kulipakia...
namba mwenye uzoef na hii gari, naona inafafana na toyota wish, nimeiwazia toyota wish, ila sijaipend pua yake/face, naona honda stream inavutia zaidi.
Naomba mwenye uzoefu atiririke hapa, ili...
Wakuu.. nataka kukasukuma ka ndinga kangu sasa kwenye kubadili kadi maana nilikafanyaga uber kadi ikawa ya kibiashara so nataka kukarudisha kad ya private.
Nimeambia niwe na document ya...
Hebu tuacheni kusingizia Mungu kwa ajali tunazo jitakia!
Hivi mjini kati magari yamejaa, mtu unapanda pikipiki haina Vioo vya pembeni maarufu kama said Mira (Side Mirrow) unategemea nini?
Vile...
Wajuzi wa mambo hapa naomba msaada wenu wa uzoefu, ninataka kufunga mfumo wa gesi kwenye TOYOTA - IST.
Naomba kujua nitegemee kupata shida gani kwenye hiyo gari mi nachojua ni kuwa nita-save...
Nikupongeze kwa hatua hii ya kuzindua gari uliyoitengeneza wewe mwenyewe kama ulivyotuaminisha ila naomba basi utusaidie yafuatayo ili utuvutie zaidi kuweza kununua gari yako
1. Je, ukichaji gari...
Baada ya mafuta kupanda bei mara dufu, nimeamua kuuza Brevis yangu kwa mil 6 kwani ilikuwa inakunywa sana mafuta.
Nimeamua ninunue pikipiki na chaguo langu ni Kinglion. Sina uzoefu sana na...
Habari wakuu naomba msaada wenu,nakerwa sana
Gari yangu ni RunX huwa inatabia ya kujizima nikiwa barabaran,imenisababishia ajali mara moja na zingine nanusurika tu kwa maana gari hujizima nikiwa...
Mimi ni mtumiaji wa Oil za Castrol kwenye magari ya Ulaya na Japan.
Juzi nilikuwa natafuta oil ya Castrol 5W30 Edge Full Synthetic kwenye filling stations za PUMA sikuweza kupata, sana sana...
Suzuki Vitara
Suzuki has a long history of producing cheap, cheerful and quirky machinery, and Australia has been a happy hunting ground for the small Japanese company.
A flood of new products in...
Leo nimeamka na hili gari kichwani.
Nafuatilia reviews youtube hasa Mini Cooper Countryman.
Kama kuna mtu alishawahi miliki au kuendesha hili gari njoo tuchat.
Wakuu poleni na kukosa kazi ya sensa,,,
Napenda kujua tofauti kati ya gari ya short wheelbase na Long wheel base (kwa lugha ya kitaalam) kwa gari aina moja tukiachana na muonekano ipi tofauti...
Habari wanafamilia wa km naomba Msaada mwenye kujua kuhusu hii gari nimeipenda mnoo natamani kuagiza Volvo XC60 haswaa upatikanaji wa spares na changamoto zake.
Wakuu nadhani ni Tanzania pekee ukiwa na gari sio Toyota spare zake kupata ni mlolongo kidogo.
Nchini Kenya, Uganda au Rwanda gari yoyote una miliki na spare zipo ila Bongo ndo kipengele kingine...
Bei ya mafuta inazidi kuwa mtihani,naomba mzoefu anisaidie yafuatayo;
1.Gharama za kuweka.
2.Gharama ya gesi kwa kilometer mija.
3.Nguvu ya gari.
4.Mafundi wa kuweka mfumo.
5.Vituo vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.