JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Niliuziwa pikipiki na serikali. Sasa Nataka kuisajili Binafsi. Nimeshapata hati ya mkaguzi wa na gari [Vehicle Inspector] kuidhininisha kuuziwa/kuinunua. Je hatua gani inafuata?
1 Reactions
6 Replies
601 Views
Msaaada wenu, Niko mkoani barabara za vumbi naitaji kununua gari kwa ajili ya familia na binafsi gari iwe naulaji mzuri wamafuta pia iwe na muonekano mzur na pia uimara wa body.
4 Reactions
82 Replies
14K Views
Wanajf , nawasalimu. Leo tena ningependa tukumbushane mambo haya ya msingi kwenye magari yetu. Ambazo huchangia kwa kiasi kikubwa matumizi makubwa ya mafuta au ya wastani. Moja kati ya njia...
2 Reactions
6 Replies
824 Views
Ninahitaji gereji nzuri ya gari aina ya Nissan iliyo mjini Bukoba, Geita au jijini Mwanza. Natamani iwe yenye wajuzi wa kutengeneza gia boksi na injini.
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Babywoka yangu (IST/Passo) Tatizo la kwanza limeanza juzi: Nimerudi jioni home, nikapaki nikaingia ndani. Usiku nikawasha gari nilisogeze getini nikashangaa 'Parking' gear haioneshi kwenye...
8 Reactions
70 Replies
7K Views
Nimenunua gari DSM harria ya mwaka 2003. Naomba kujua gharama ya kusafirisha kwenda Mwanza. Mafuta lita ngapi? Dereva analipwa bei gani kulipeleka Mwanza. Ipi rahisi kuliendesha au kulipakia...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
namba mwenye uzoef na hii gari, naona inafafana na toyota wish, nimeiwazia toyota wish, ila sijaipend pua yake/face, naona honda stream inavutia zaidi. Naomba mwenye uzoefu atiririke hapa, ili...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu.. nataka kukasukuma ka ndinga kangu sasa kwenye kubadili kadi maana nilikafanyaga uber kadi ikawa ya kibiashara so nataka kukarudisha kad ya private. Nimeambia niwe na document ya...
1 Reactions
4 Replies
384 Views
Hebu tuacheni kusingizia Mungu kwa ajali tunazo jitakia! Hivi mjini kati magari yamejaa, mtu unapanda pikipiki haina Vioo vya pembeni maarufu kama said Mira (Side Mirrow) unategemea nini? Vile...
1 Reactions
9 Replies
997 Views
Wajuzi wa mambo hapa naomba msaada wenu wa uzoefu, ninataka kufunga mfumo wa gesi kwenye TOYOTA - IST. Naomba kujua nitegemee kupata shida gani kwenye hiyo gari mi nachojua ni kuwa nita-save...
6 Reactions
32 Replies
5K Views
Nikupongeze kwa hatua hii ya kuzindua gari uliyoitengeneza wewe mwenyewe kama ulivyotuaminisha ila naomba basi utusaidie yafuatayo ili utuvutie zaidi kuweza kununua gari yako 1. Je, ukichaji gari...
15 Reactions
135 Replies
13K Views
Baada ya mafuta kupanda bei mara dufu, nimeamua kuuza Brevis yangu kwa mil 6 kwani ilikuwa inakunywa sana mafuta. Nimeamua ninunue pikipiki na chaguo langu ni Kinglion. Sina uzoefu sana na...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari wakuu naomba msaada wenu,nakerwa sana Gari yangu ni RunX huwa inatabia ya kujizima nikiwa barabaran,imenisababishia ajali mara moja na zingine nanusurika tu kwa maana gari hujizima nikiwa...
3 Reactions
5 Replies
889 Views
Mimi ni mtumiaji wa Oil za Castrol kwenye magari ya Ulaya na Japan. Juzi nilikuwa natafuta oil ya Castrol 5W30 Edge Full Synthetic kwenye filling stations za PUMA sikuweza kupata, sana sana...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Suzuki Vitara Suzuki has a long history of producing cheap, cheerful and quirky machinery, and Australia has been a happy hunting ground for the small Japanese company. A flood of new products in...
0 Reactions
1 Replies
990 Views
Leo nimeamka na hili gari kichwani. Nafuatilia reviews youtube hasa Mini Cooper Countryman. Kama kuna mtu alishawahi miliki au kuendesha hili gari njoo tuchat.
3 Reactions
67 Replies
12K Views
Wakuu poleni na kukosa kazi ya sensa,,, Napenda kujua tofauti kati ya gari ya short wheelbase na Long wheel base (kwa lugha ya kitaalam) kwa gari aina moja tukiachana na muonekano ipi tofauti...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari wanafamilia wa km naomba Msaada mwenye kujua kuhusu hii gari nimeipenda mnoo natamani kuagiza Volvo XC60 haswaa upatikanaji wa spares na changamoto zake.
2 Reactions
37 Replies
4K Views
Wakuu nadhani ni Tanzania pekee ukiwa na gari sio Toyota spare zake kupata ni mlolongo kidogo. Nchini Kenya, Uganda au Rwanda gari yoyote una miliki na spare zipo ila Bongo ndo kipengele kingine...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Bei ya mafuta inazidi kuwa mtihani,naomba mzoefu anisaidie yafuatayo; 1.Gharama za kuweka. 2.Gharama ya gesi kwa kilometer mija. 3.Nguvu ya gari. 4.Mafundi wa kuweka mfumo. 5.Vituo vya...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom