JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nasikia bado zipo usukumani😂
10 Reactions
18 Replies
1K Views
Ni lini mara ya mwisho hali hii ilikutokea na nini kilisababisha? Kwangu: Mtu aliniongelea karibu sana sikioni. Nilisikiliza cover ya wimbo wa "Baby can I hold you" wa Tracy Chapman. Orgasm...
14 Reactions
177 Replies
5K Views
Katika kutambua vipaji vyao, nitakuwa nashindanisha stori (script) ya dakika 60 kwa wale wote wenye vipaji. Na atakayekuwa mshindi kila mwezi, atazawadiwa shilingi 200,000/= .Atakayeshika nafasi...
2 Reactions
5 Replies
269 Views
Hii imenipa maswali sana kwahy jux hawezi kabisa kubebesha mwanamke mimba kwa picha nilio iona ni kwamba mwanamke kavaa zile mimba bandia inaonyesha kabisa na huyo aliyetuma picha hizo kwa group...
11 Reactions
65 Replies
3K Views
Niko njia panda naagaje kwenda kusapua course 1 ilinikamata na wazazi wanakuja fika vyuo vikuu vinafunguliwa mwezi 10 Sasa Mimi nasapua mwanzoni wezi wa 9 Nimebuni mbinu hizi ila wapi...
7 Reactions
39 Replies
996 Views
Kwani ni lazima maharusi kucheza siku ya sherehe ya ndoa yao, kama haujui si ni heri mtulie tu kuliko kujidhalilisha kama hivi😅😅😅
18 Reactions
94 Replies
3K Views
Hivi ulishawahi mpigia mtu simu, alafu kimoyo moyo unaomba asipokee Ili badae umlaumu kwanini hakupokea.
4 Reactions
6 Replies
322 Views
Me as a father on my way to embarrass my children at school meeting.
3 Reactions
7 Replies
479 Views
Mtu anakutumia msg naomba pesa kiasi flani. Unamwambia subiri nina mgonjwa nimemleta Hospital. Anajibu "Haya" Kesho yake anakutumia "mbona kimya?" Unamwambia jana ulirudi late sana yule...
14 Reactions
43 Replies
2K Views
kwa upande wangu sikawahi kutana nae ila nisikia ni hatare sana na wanasema sana sana anptkn Tabora, kanda ya ziwa ,Dodoma na Mbeya Kama ushawahi kutana nae share nasi tujifunze😁
12 Reactions
231 Replies
9K Views
Pepsi tuwape maua yao soda ya pepsi ikiwa ya baridiiiiii ukishusha kwenye koo kuna ka msisimko una kuja sijawai pata soda kama pepsi haina mshindani kabisa
19 Reactions
79 Replies
2K Views
Utani wa Feisal Fei Toto na wachezaji wenzie wa Taifa Stars, akiwa anakula chakula cha wenzie na kusema kuwa hana hela. Ni kweli Feisal hana hela?😅
2 Reactions
3 Replies
395 Views
Hivi kwanini mtu anapoitwa kwenye public or sehemu yoyote then akawa hana uhakika kama ni yeye ndio anaeitwa akigeuka na kusema Mimi lazima kidole chake kielekee kifuani, iwe kwa kugusa kabisa...
17 Reactions
95 Replies
4K Views
Nilichojifunza 2025 Nguvu ya mwanaume ni PESA tu, hata uwe na umri, akili & busara kiasi gani kama huna Pesa ni bure tu! 2026 Resolutions Kila kitu kinawezekana, tuwekeze nguvu na akili...
7 Reactions
5 Replies
683 Views
Wakuu hivi lodge zenye masharti kama haya zinapatikana wapi?
8 Reactions
42 Replies
2K Views
UZI WA VAYOLENSI; Njoo utoe makavu kama unayo! Kama wewe ni mwanamke usiyejishughulisha, maisha yako yanategemea kudanga au kuomba omba wanaume hela - jua unatumia kikojoleo chako kama shughuli...
5 Reactions
17 Replies
589 Views
Waungwana na wenye busara naomba mnishauri maana sasa hii imenizidi. Iko hivi 👇 Nimehamia kwenye hii nyumba mwezi wa 7 nikitokea mkoani huko nimekuja Dar kutafuta maisha. Sasa siku za awali kila...
10 Reactions
27 Replies
1K Views
Kwa nini wasafiri wa ndege huwa hawasali au kufanya dua/maombi ya kuombea safari kwa pamoja kama wasafiri wa bus za abiria? Bus zote za abiria ambazo nimesafiri nazo lazima wafanye maombi hata...
2 Reactions
12 Replies
659 Views
Aisee hii kwangu toka nmejitambua hii siku Huwa inanikuta Sina pesa je ni Mimi tu hii Hali hunitokea? Njooni mtoe ushuhuda wakuu
5 Reactions
19 Replies
656 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…