Nashukuru sijala Krismasi

Nashukuru sijala Krismasi

Watu hawa wavivu wavivu wa akili mpaka matendo wenye husda na chuki hadi wenyewe kwa wenyewe , wenye choyo na roho ya kwanini kuliko,

Wenye uwezo wa kutaka kutoana roho kisa mgao wa nyama ,
Ambao wenzao siku zote walijishusha mpaka wakakubali wachinje wao,
Eti hoja yao kubwa ni kutokula chakula?????

Haya endeleeni wazee wa ubwabwa ila tambueni wenyewe kwa wenyewe hamna umoja huo mtaishia njiani
 
Sio chakula tu, mkatae kutibiwa hospital za wakristo, msiwaoe, msinunue wala kuwauzia chochote, msikubali wawatibu wala kufundisha watoto wenu, msisafiri kwa magari wanayomiliki.

Mwisho mkipika supu ya nguruwe kwenye sikukuu za eid msitulazimishe kula, yanini kubagua nusu nusu.
 
Nashukuru sijala chakula cha krismass.
Sio rafiki wala jirani aliejaribu kunialika au kuniletea.

“Mtu yeyote anayeiga taifa fulani au kundi fulani, yeye ni miongoni mwao.”
(Sahih al-Bukhari, Sahih Muslim)
Wakristo wanakula nyama zilizo chinjwa kiislamu wakati ni haramu kula mnyama aliye chinywa kwa majina ya miungu mingine
 
Nashukuru sijala chakula cha krismass.
Sio rafiki wala jirani aliejaribu kunialika au kuniletea.

“Mtu yeyote anayeiga taifa fulani au kundi fulani, yeye ni miongoni mwao.”
(Sahih al-Bukhari, Sahih Muslim)
Kwa hiyo hamuendi tena kwenye Misiba na sherehe za ndoa za Wagalatia??
 
Nashukuru sijala chakula cha krismass.
Sio rafiki wala jirani aliejaribu kunialika au kuniletea.

“Mtu yeyote anayeiga taifa fulani au kundi fulani, yeye ni miongoni mwao.”
(Sahih al-Bukhari, Sahih Muslim)
Quran inasema tofauti na bukhari,na Quran ndiyo yenye uislam
Quran inasema mmehalalishiwa chakula cha waliopewa kitabu(kile cha halali) na chakula chenu ni halali kwao
Nakushauri fuata Quran badala ya vitabu vinavyowaweka waislam mbali na Quran
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom