JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Tunataka kujua ng'ombe waliogongwa na shilole ni wangapi na wanaendeleaje maana mali ni bora kuliko taarifa za mtu.
6 Reactions
10 Replies
311 Views
Habari. Kila Mmoja Anaendelea Na Majukumu Yake Ya Kila Siku Vyema. Kama Swali Linavyojieleza Hivi Ni Kwanini Wanandoa Wa Jamiiforums Wanashambulia Watu Ambao Hawajaoa? Kuna Nini Nyuma Ya Pazia...
5 Reactions
19 Replies
788 Views
Wakuu, kama tunavyojua kila mtu anatoka katika mazingira tofauti na amejifunza Kiingereza kwa namna yake. Je, ni neno gani la Kiingereza ambalo mara nyingi linakupa ugumu kulitaja au kulitamka kwa...
1 Reactions
3 Replies
289 Views
Nasikia kuna watu wapo bize kutafuta habari za yule Ng'ombe kutaka kujua hali yake baada ya ile ajali. Kuna diaspora mmoja kasema kama huyo Ng'ombe atahitaji matibabu mazuri zaidi anaijua...
10 Reactions
16 Replies
395 Views
Habari wadau. Nashukuru Kwa wote mlio nijenga juu ya namna ya kuacha pombe nilipoomba USHAURI MWAKA 2022. Naelekea miaka 4 Sasa bila kunywa pombe Nilikuwa mlevi sanaaaaaaaaaaaaaaa wa pombe aina...
10 Reactions
35 Replies
608 Views
Watoto wa 2000 wana UTI ya juu kiwango cha zege. Yaani Hawa watoto ni Malaya Hasa jinsia hii ya Hawa watu
4 Reactions
10 Replies
404 Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Mapenzi yafutwe! Kusiwepo na kitu kinaitwa mapenzi hapa duniani! Kisitambulike duniani na juu kwa... Ndoa isitambulike kisheria wala kidini! Kuzungumzia Mapenzi iwe haramu/kinyume cha sheria na...
6 Reactions
35 Replies
1K Views
Nasoma Comment! Ungepewa nafasi ya kukutana na mtu mmoja tu kutoka kwenye BIBLIA na umuulize swali, ungependa ukutane na nani na umuulize swali gani? haya twende kazi
4 Reactions
42 Replies
756 Views
Kuna tofauti kubwa sana kati ya bia na pombe. Pombe zote zinazoitwa bia zinatengenezwa na kiwanda cha serengeti sio bia ni pombe. Pombe nyingi za TBL sio bia. Ni pombe. Isipokuwa Castle lite tu...
8 Reactions
32 Replies
521 Views
Habari, Kama kuna mtanzania yupo Switzerland na anatafuta mtu wa ku connect nae mimi nipo Basel, Jinsia Male age 23.
1 Reactions
6 Replies
225 Views
...................
3 Reactions
9 Replies
269 Views
Tupo ukimgoni wa mwaka huu uliokuwa na shuruba nzito nzito Kwa hakika ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mpaka leo imetukuta tukiwa tunavuta pumzi yake Hawa ni members bora kabisa kwangu...
17 Reactions
141 Replies
2K Views
Wakuu, niko hapa nasoma comment, ni misemo gani au maneno gani yaliyotrend sana huu mwaka.
3 Reactions
14 Replies
405 Views
Bongo swala sio kutapeliwa ila unaweza kutapeliwa mara mbili ndani ya siku hiyohiyo ukiwa na wenge.
4 Reactions
10 Replies
296 Views
Mwaka mpya na mambo mapya.wakuu najua mko vyema kabsa.Hebu nataka kuulza kuhusu hawa memba wetu smart911 na mahondaw.Hawa jamaa sijawahi kuona comment zao zikiwa ndefu tangu kuingia kwangu jf. kwa...
4 Reactions
10 Replies
218 Views
Mimi nikisikia kuhusu village people, kinachokuja kichwani ni wachawi na watu wasiopenda maendeleo yako. Yaani wakiona umepiga hatua tu, hao wanakuja kukurudisha nyuma. Utasikia huyu naye...
1 Reactions
6 Replies
154 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…