JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Asili ya fisi huyu kuitwa Musa ni kwa vile siku moja alipojaribu kumkamata mwanamke aliyekuwa amelewa; bibi huyo alimdhani fisi ni mumewe aitwaye Musa, hata akamwita kwa sauti kuu, “Musa Musa...
1 Reactions
2 Replies
156 Views
Katika maisha yetu huwa tunakutana na shauri mbali mbali, inaweza kuwa pindi tunajitafuta au nyakati tumejipata. Mimi nliaminishwa nikianzisha biashara ya chips, inalipa sana na watu lazima wale...
9 Reactions
24 Replies
555 Views
Kwenye kila shule kuna yule mwalimu mnokoo, shuleni kwenu alikuwa anaitwa nani!? Mtaje. Cc Zero IQ
3 Reactions
142 Replies
15K Views
Videos shows people digging because they stepped in that area by mistake so they have to serve a punishment by digging. 😂😂 Even if your in a suit, you can’t survive the hoe once you breach the rule
1 Reactions
0 Replies
124 Views
1. Mke wangu, huwa najiapiza siwezi kumuacha kiurahisi kabisa 2. Jamii forums nimekuwa ni zaidi ya mlevi. Kama bado sijaingia humu hapo bado nitakuwa sijafanya kitu Wewe je?
8 Reactions
12 Replies
333 Views
Wakuu! Umetulia zako huna hili wala lile halafu ghafla unaona mmoja wao, ni mdudu gani kati ya hawa unamuogopa zaidi? 😅 A. Kunguni B. Nairobi fly C. Tandu D. Nge E. Chawa F. Mende
7 Reactions
40 Replies
667 Views
Rejea title, rejelea jukwaa. Ukitaka mada za maana nenda siasani kule ukqjionee vioja. Watanzania wanafki sana, tuambizane ukweli kwa kutoambizana kweli. Niyasemayo ni haki, na dhahiri shahiri...
1 Reactions
14 Replies
214 Views
Kuna makamanda wa Polisi wa mikoa waliovuma sana enzi zao za utumishi Jeshini kwa kupambana na uhalifu. Mmoja wapo ni, Venance Tossi, Afred Tibaigana, Suleiman Kova, Omari Mahita, David Daud...
4 Reactions
102 Replies
28K Views
Hebu wadada wa humu tutongozeni ili tupime misimamo yetu. Shusheni vocal hizo nasisi tuanze kutafuna majani na kung'ata kucha! 🔥
18 Reactions
1K Replies
54K Views
Leo katika pitapita zangu, nikaona nipite nimchukue binti angu. Basi bana watoto wakaniona nimepaki nikashuka kwenye Vogue, nikazunguka nyuma yao. Wakaanza kumtania mwanagu, Neema(code) huyo ni...
8 Reactions
23 Replies
560 Views
Walikua maarufu sana hasa Twitter x" na Telegram,miaka ya 2021 mbaka 2024? :Asha zungu :Sauda Bubu :Linda amossi :Yanga girl :Mona deus aka slim lady, :Sy kivuluge sijapata kabisa kuwaona si...
5 Reactions
25 Replies
367 Views
Huu ni uzi huru ukiwa na wazo unaloona linafaa Kuwa wazo la siku tupia hapa. ..kijiweni Mfano tuanze na "Kadri unavyozidi kupanua ndivyo watu wananyozidi kutamani"
6 Reactions
100 Replies
31K Views
Kuna matukio nikikumbuka huwa najisikia vibaya, fedheha, pengine na kujicheka ndani yake. Kwamba ndio kujifunza huko. Wakati fulani nafanya kazi za video shooting nilishoot dicumentary ya dada...
2 Reactions
0 Replies
131 Views
Swali gani unachukia kuulizwa?
8 Reactions
111 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, ni id gani ya member wa humu jamvini unayo ikubali zaidi? Mi binafsi nakubali iyi: #Mtoto halali na Hela Sent using Jamii Forums mobile app
7 Reactions
377 Replies
19K Views
Wakuu mko salama humu?. Baada ya kupitia changamoto nyingi za kimaisha,nikaamua kwenda kwa mganga kusafisha nyota.mganga hakua na mengi ya kunifanyia ,zaidi alinipa tu chumvi ya mawe akaniambia...
11 Reactions
35 Replies
3K Views
Soma ujumbe na ufanyie kazi
1 Reactions
5 Replies
167 Views
Deadline ya kunyoa ni kesho ili by valentine uwe umemaliza kujikuna
4 Reactions
53 Replies
598 Views
Back
Top Bottom