JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nasoma Comment! Ungepewa nafasi ya kukutana na mtu mmoja tu kutoka kwenye BIBLIA na umuulize swali, ungependa ukutane na nani na umuulize swali gani? haya twende kazi
4 Reactions
42 Replies
749 Views
Kuna tofauti kubwa sana kati ya bia na pombe. Pombe zote zinazoitwa bia zinatengenezwa na kiwanda cha serengeti sio bia ni pombe. Pombe nyingi za TBL sio bia. Ni pombe. Isipokuwa Castle lite tu...
8 Reactions
32 Replies
514 Views
Habari, Kama kuna mtanzania yupo Switzerland na anatafuta mtu wa ku connect nae mimi nipo Basel, Jinsia Male age 23.
1 Reactions
6 Replies
224 Views
...................
3 Reactions
9 Replies
268 Views
Tupo ukimgoni wa mwaka huu uliokuwa na shuruba nzito nzito Kwa hakika ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mpaka leo imetukuta tukiwa tunavuta pumzi yake Hawa ni members bora kabisa kwangu...
17 Reactions
141 Replies
2K Views
Wakuu, niko hapa nasoma comment, ni misemo gani au maneno gani yaliyotrend sana huu mwaka.
3 Reactions
14 Replies
403 Views
Bongo swala sio kutapeliwa ila unaweza kutapeliwa mara mbili ndani ya siku hiyohiyo ukiwa na wenge.
4 Reactions
10 Replies
295 Views
Mwaka mpya na mambo mapya.wakuu najua mko vyema kabsa.Hebu nataka kuulza kuhusu hawa memba wetu smart911 na mahondaw.Hawa jamaa sijawahi kuona comment zao zikiwa ndefu tangu kuingia kwangu jf. kwa...
4 Reactions
10 Replies
217 Views
Mimi nikisikia kuhusu village people, kinachokuja kichwani ni wachawi na watu wasiopenda maendeleo yako. Yaani wakiona umepiga hatua tu, hao wanakuja kukurudisha nyuma. Utasikia huyu naye...
1 Reactions
6 Replies
154 Views
Wawaambie pia waumini wao wasisherekee mwaka mpya na wasiifate hii kalenda .. Maana ni Ya kanisa katoliki!.... "verum Nocet "
10 Reactions
13 Replies
185 Views
Duniani kuna mambo yanashangaza sana Kuna mzee mkulima mwenye umri wa miaka 81 anayejulikana kwa jina la THAI NGOC hajafanikiwa kupata usingizi ndani ya miaka 60 Yaani yeye anashinda anapiga...
5 Reactions
3 Replies
183 Views
Nilipiga bao pahala...nilikuwa na upwiru balaa,,,nashukuru halikwenda bure...leo nina mtoto mdogo kuliko mjukuu wangu wa mwisho. Sema AMINA.
2 Reactions
2 Replies
132 Views
Solu tape = solution tape Rubber band = bala bendi Ambles = ambulance Ongezea Mengine unayo ya jua...
12 Reactions
126 Replies
3K Views
Watu mna upwiru siyo kawaida, kwa mlivyojazana na kushupaza vichwa kwenye huo uzi wa mrembo, naamini wengi wenu humu vichupa vimejaa. Enewei, mida yangu ya kujidai, njooni jamvini tusemezane...
13 Reactions
447 Replies
4K Views
1 Reactions
0 Replies
128 Views
Ndio, nimealikwa kwa rafiki zangu wakristo, nami ni mwislamu. Pilau nimekula, nyama za kuchoma, pilipili, kachumbari, samaki, juisi na pombe juu nimekunywa Tunafurahi na hata uzi huu nauandika...
18 Reactions
88 Replies
1K Views
Back
Top Bottom