Wakuu Mimi Nipo kibaha mjini kikazi anaejua viwanja vya Bata maeneo haya ambapo Kuna watoto wakali ni sehemu Gani wazee nataka niibuke Leo nikale Bata mpaka kuku waone wivu tupunguze machungu kidogo
Baada ya kukosekana kwa muda mrefu uzi wa kututetea sisi wavuta sigara, sasa rasmi huu ni uzi wetu sasa, tujimwaye mwaye, tubadilishane uzoefu.
Ulianza vipi kuwa mvutaji wa sigara?
Karibuni wazee...
Habari JF-members!
duuh!, sijui shida ndio kutofika shule au uvivu wa kufikilia. Naombeni majibu nimeshidwa kuandika kwa maneno 11000 Na 10001, Naona kama vyote vinafanana.
Habari za leo jf-members.....
naombeni majibu yenu,
Mwalimu aliuliza swali "laiti kesho ingekuwa jana basi leo ingekuwa ijumaa " je, mwalimu aliuliza swali siku gani?
Hili sio ombi ni AMRI.
Kila mtu lazima ashereheke Krismas.
Kuendana kinyume na hapo utajiweka kwenye wakati mgumu. Na usije kulaumu mamlaka takatifu.
Vijana wa Zayuni kwaanzia leo usiku hadi...
December 31 I was finally birthed, it was time for me to find what is this planet worth.
Jamaa home where I got my sernity first, you can say, this is where I was handled my bless.
I have been...
Kulingana na huo utafiti nimegundua hizo neti ni za kutoa watu uoga wa kaburini. Wote tulishahudhuria mazishi sehem nyingi na kama bado wewe n zombie.
Jaribu kulala ukiwa umeangalia juu yaan...
Habari.
Kila Mmoja Anaendelea Na Majukumu Yake Ya Kila Siku Vyema.
Kama Swali Linavyojieleza Hivi Ni Kwanini Wanandoa Wa Jamiiforums Wanashambulia Watu Ambao Hawajaoa?
Kuna Nini Nyuma Ya Pazia...
Wakuu, kama tunavyojua kila mtu anatoka katika mazingira tofauti na amejifunza Kiingereza kwa namna yake. Je, ni neno gani la Kiingereza ambalo mara nyingi linakupa ugumu kulitaja au kulitamka kwa...
Nasikia kuna watu wapo bize kutafuta habari za yule Ng'ombe kutaka kujua hali yake baada ya ile ajali.
Kuna diaspora mmoja kasema kama huyo Ng'ombe atahitaji matibabu mazuri zaidi anaijua...
Habari wadau.
Nashukuru Kwa wote mlio nijenga juu ya namna ya kuacha pombe nilipoomba USHAURI MWAKA 2022. Naelekea miaka 4 Sasa bila kunywa pombe Nilikuwa mlevi sanaaaaaaaaaaaaaaa wa pombe aina...
Mapenzi yafutwe!
Kusiwepo na kitu kinaitwa mapenzi hapa duniani! Kisitambulike duniani na juu kwa...
Ndoa isitambulike kisheria wala kidini!
Kuzungumzia Mapenzi iwe haramu/kinyume cha sheria na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.