JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu Mimi Nipo kibaha mjini kikazi anaejua viwanja vya Bata maeneo haya ambapo Kuna watoto wakali ni sehemu Gani wazee nataka niibuke Leo nikale Bata mpaka kuku waone wivu tupunguze machungu kidogo
1 Reactions
47 Replies
847 Views
Baada ya kukosekana kwa muda mrefu uzi wa kututetea sisi wavuta sigara, sasa rasmi huu ni uzi wetu sasa, tujimwaye mwaye, tubadilishane uzoefu. Ulianza vipi kuwa mvutaji wa sigara? Karibuni wazee...
13 Reactions
41 Replies
1K Views
Habari JF-members! duuh!, sijui shida ndio kutofika shule au uvivu wa kufikilia. Naombeni majibu nimeshidwa kuandika kwa maneno 11000 Na 10001, Naona kama vyote vinafanana.
2 Reactions
12 Replies
192 Views
Habari za leo jf-members..... naombeni majibu yenu, Mwalimu aliuliza swali "laiti kesho ingekuwa jana basi leo ingekuwa ijumaa " je, mwalimu aliuliza swali siku gani?
7 Reactions
19 Replies
516 Views
Linapokuja suala la kucheza mziki Mungu hakuwasahau watu wafupi.
3 Reactions
1 Replies
132 Views
Hili sio ombi ni AMRI. Kila mtu lazima ashereheke Krismas. Kuendana kinyume na hapo utajiweka kwenye wakati mgumu. Na usije kulaumu mamlaka takatifu. Vijana wa Zayuni kwaanzia leo usiku hadi...
4 Reactions
26 Replies
369 Views
December 31 I was finally birthed, it was time for me to find what is this planet worth. Jamaa home where I got my sernity first, you can say, this is where I was handled my bless. I have been...
28 Reactions
466 Replies
13K Views
Kulingana na huo utafiti nimegundua hizo neti ni za kutoa watu uoga wa kaburini. Wote tulishahudhuria mazishi sehem nyingi na kama bado wewe n zombie. Jaribu kulala ukiwa umeangalia juu yaan...
2 Reactions
0 Replies
133 Views
Tunataka kujua ng'ombe waliogongwa na shilole ni wangapi na wanaendeleaje maana mali ni bora kuliko taarifa za mtu.
6 Reactions
10 Replies
309 Views
Habari. Kila Mmoja Anaendelea Na Majukumu Yake Ya Kila Siku Vyema. Kama Swali Linavyojieleza Hivi Ni Kwanini Wanandoa Wa Jamiiforums Wanashambulia Watu Ambao Hawajaoa? Kuna Nini Nyuma Ya Pazia...
5 Reactions
19 Replies
780 Views
Wakuu, kama tunavyojua kila mtu anatoka katika mazingira tofauti na amejifunza Kiingereza kwa namna yake. Je, ni neno gani la Kiingereza ambalo mara nyingi linakupa ugumu kulitaja au kulitamka kwa...
1 Reactions
3 Replies
286 Views
Nasikia kuna watu wapo bize kutafuta habari za yule Ng'ombe kutaka kujua hali yake baada ya ile ajali. Kuna diaspora mmoja kasema kama huyo Ng'ombe atahitaji matibabu mazuri zaidi anaijua...
10 Reactions
16 Replies
391 Views
Habari wadau. Nashukuru Kwa wote mlio nijenga juu ya namna ya kuacha pombe nilipoomba USHAURI MWAKA 2022. Naelekea miaka 4 Sasa bila kunywa pombe Nilikuwa mlevi sanaaaaaaaaaaaaaaa wa pombe aina...
10 Reactions
35 Replies
588 Views
Watoto wa 2000 wana UTI ya juu kiwango cha zege. Yaani Hawa watoto ni Malaya Hasa jinsia hii ya Hawa watu
4 Reactions
10 Replies
401 Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Mapenzi yafutwe! Kusiwepo na kitu kinaitwa mapenzi hapa duniani! Kisitambulike duniani na juu kwa... Ndoa isitambulike kisheria wala kidini! Kuzungumzia Mapenzi iwe haramu/kinyume cha sheria na...
6 Reactions
35 Replies
1K Views
Back
Top Bottom