Wale wa mkoa wa Njombe,mbeya,Iringa
Nipeni majina ya kibena kwa ajili ya mapacha.
Haya ni baadhi ila si ya mapacha
1.Atupele
2.Atugavie
3.Alatuhiga
4.Alanzawe
5.Amsho
6.Tulazabihwa
NB...
Kwanza ifahamike wanaume tunapata utulivu wa ubongo na burudani ya macho kupitia hawa wadada wenye maumbo mazuri.
Ninaposema wadada wenye maumbo mazuri sihusishi sura, namaanisha kunzia shingo...
Kuanzia jana jioni nilianza kuona maruweruwe (halucinations) na muda mwingine nasikia watu wanatembea nikiwa nimekaa, ila nikigeuka siwaoni. Nikachukulia poa. Usiku nimekunywa maji ya moto yenye...
Habari ndugu zangu.
Wale wapenz na members wangu wado penda kufatilia therd zangu sasa ivi nabanwa sana n mda ivyo sipo online uku mda mrefu masomo yanaendelea Kila siku na Kila mda.
Nani yuko macho muda huu
Katika mazingira gani
Ya furaha?
Ya huzuni?
Ya dharura?
Ya sintofahamu
Hospital au nyumbani?
Gesti ama safarini?
Peke yako ama...
Wiki ilikua ndefu hii, alhamdulillah imeisha, nimewamiss, njooni tuzogoe.
Umeshawahi kushikwa na hamu ya kufanya kitu chochote mpaka ikabidi ubadili ratiba yako yote ili tu ukifanikishe...
Wadada wa JF mpo?
Kwa hiyo huyo mhalifu mwenzako ameshakunulia Pashmina au utasubiri tu mwakani?
Wifi yenu ataendelea tu kuvaa madera na vijora
Binafsi napata ukakasi kumnunulia hayo mashuka...
"Kwaraha zetu peke zetu, na maprimitivu na maparalize"
"Nimeshaongea na Elon Musk amesema atatupatia Internet bure"
"Nimeshaongea na mkuu wa Satellite akasema atatusogezea satellite siku hiyo"...
Mvuta bangi mwanaume alivuta bangi akajiona uchi akadhani amevaa suti. akaenda kwa wenzake akawauliza suti imemtoa aje .mmoja wao akamjibu Poa sana ila tu tai umefungia chini sana
Ni aibu sana kitu unafanya kwa siri ghafla kikajulikana hadharani🙌. Upande wangu kama ambavyo ilivyo kwa watoto wengi hasa wa kike nilikatazwa kutumia simu mpaka nifike kidato cha nne,jambo ambalo...
John Sanga alikuwa ni mwanafunzi Mchoraji, Siku mwoja alichora Noti ya shilingi elfu kumi kwenye sakafu, Mwalimu alipo ingia Darasani ghafla akajikwaa na kupasuka pua.... Wakati alipo kuwa...
Tafakari ya babu na Swaleh Mdoe
"Nikiangalia kopo langu la mkono,
lasema ni saa moja na dakika takribani kumi na kenda."
Tafakari ya babu...
"Mtoto mmoja alianza kujipaka mate kichwani katika...
Jamaa mmoja alikuwa akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari, castle na kilimanjaro kisha anatafata meza yenye viti vitatu anakaa nakunywa zile bia moja bada ya nyingine zote tatu nakuondoka...