Alikuwa akiamini kuwa mapenzi ya dhati ni kama pepo ndogo ya siri tunayoijenga hapa duniani, zawadi adhimu tunayopeana faragha na ambayo haitapatikana mbinguni.
Alimwamini mpenzi wake na...
Sio huo uliouwaza ni utelezi wa tope..!
Sio tope hilo ulilowaza ni tope la udongo wa mfinyanzi😂
Na sio huyo mfinyangaji uliyemuwaza..
https://www.facebook.com/share/r/1DscYuiS6o/
Moja ya raha za duniani ni kwenda sehemu ambayo hujawahi kwenda kabla, kuona watu wapya na kujifunza mambo mbalimbali. Safari huweza kuwa ya ndani au nje ya mipaka ya nchi uliyopo
Kikwazo cha...
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.
1. Ana sumu inayoweza...
Zamani tulizoea kusikia habari za misukule kule vijijini ambapo mtu anafanywa msukule wa kimwili, anazikwa kisha anaenda kulimishwa mashamba usiku.
Siku hizi ulimwengu wa giza umeweka kambi...
MLianza na 20, 30, ikaja 50, ikaja 80, sasa hivi 100k
Laki moja imekuwa sasa kama trend.
Tena hamjali hata hali ya mtu kisa tu ni rafiki au ndugu
Hivi haya yootee ya nini, jamani,
Si mchukuane...
It was a scene straight out of Wakaliwood.
During a surprise inspection by Hoima District Chairperson Uthuman Mugisha Kadiri at Kabaale Public Primary School, a stand-in teacher dramatically fled...
Salaam,hii ni orodha ya waongo nguli duniani.
1.Mo dewji
2.Viongozi wote wa Simba
3.Wanasiasa
4.Wasichana waliozaliwa kuanzia 2005
5.Madalali.
Nawasilisha
Kama unamjua mganga ambae hana vipengele wala hana garama, ila ni mtaalam kweli kweli dondosha apa namba zake wadau waruke nazo. Hakikisha hana vipengele.
Kuna wakati nimejikuta nikifikiria sana kuhusu maisha ya mwanadamu na jinsi ambavyo kila mmoja wetu amekuja kuwa yeye.
Kwa nini mimi nimekuwa mimi?
Kwa nini wewe umekuwa wewe?
Na kama mambo...
Umeshtuka usiku unasikia kiu, sasa lile wenge la usingizi unasahau dumu ambalo lina maji ya kunywa unachanganya na ndoo yenye maji uliosuuzia vyombo vichafu usiku unayochota na kunywa, 🤮
"Don't waste your time on revenge. The people who hurt you will eventually face their own karma.🎯"
Usaorere ifre lyako o mndu ula kukoora kisasi. Wandu wala wakukorere ufi, upu upu wavone ifre...
Wandewa, faragha sio uwanja wa mapambano ya ngumi au mbio za mita mia!
Ule ni mchezo wa bao la kete—unataka akili, subira, na kucheza kwa kunyata sana.
Unalivaa futa utadhani unakamata mwizi wa...
Guys nipo mkoa fulani sasa mchana nilikula ugali nikaleta zile mbwembwe za Dar za sili usiku zaidi ya matunda tu,
Sielewi nini kimetokea ila njaa inaniuma siwezi kulala na siwezi kutoka kutafuta...
Tokea asubuhi kuna kaubaridi fulani hivi .
Mwanzo nilijua mambo ya ibada jumapili leo.
Mchana hola.
Jioni hola
Au labda yanga day ?
Lakini inaweza kuwa watu wako aut a wenzi wao.
Baada ya kuambiwa alicheka sana alafu akatikisa kichwa, akasema mpelekee na Mama Janeth aangaliye. Mama Janeth kakaa nayo anacheka.
Magufuli akasema hebu rudisha huku bwana, na ninyi wanawake...