Amri iliyo kuu ni UPENDO! Basi tupendane..
Leo nimekaa nikitafakari kwa kina kuhusu jukwaa letu.
Mara nyingi tunakutana humu kuchangamsha akili, kubishana, na wakati mwingine kupeana changamoto...
Kila mtu ana ndoto ya kumiliki jabo fulani kwenye maisha yake, wengine tuna ndoto ya kumiliki vyombo vya moto kama magari lakini ndoto bado zinagoma tunaishia kumiliki tu majiko ya mkaa.
Wewe...
1. The couple PFP
Ni profile picture ya wapenzi wawili wakikumbatiana, wakishikana mikono (soul tie). Hawa ndio wale Wanajionaga "Wamiliki wa Hati Miliki za Mapenzi"! 😅
Tafsiri ya Picha Jinsi...
Nimeamua kuja hapa Las Vegas kwa ajili ya mapumziko ya wiki moja lakinaishi nayohitaji kuishi hapa naona kwa hela hii niliyonayo sitoboi wiki
Nilikuwa nimeandaa bajet ya dollar 1 million kwa...
Guys, Guys, Guys
Sijui mnanisikiaaaaaaa hebu sogeeni karibu niwape huu mchapo.....🙌🏻
Mayatima wa mapenzi mje mjifariji kidogo hapa,
Baada ya kumaliza mihangaiko yangu kwenye mji wa watu...
Usikae kinyonge
Usisononeke. Maisha bado yapo na siku hazigandi. Unayopitia walishayapitia wengine wewe si wa kwanza na wala hutakuwa wa mwisho
Pita hapa uone pia shuhuda za wengine
Changamoto...
Unajisikiaje kutumia jina lile lile ulilopewa na wazazi wako toka udogoni mpaka unakufa nalo?
Kama tunaweza kuongeza thamani ya viwanja vyetu, mashamba, majengo n.k, ni muhimu pia kuongeza...
Alikuwa akiamini kuwa mapenzi ya dhati ni kama pepo ndogo ya siri tunayoijenga hapa duniani, zawadi adhimu tunayopeana faragha na ambayo haitapatikana mbinguni.
Alimwamini mpenzi wake na...
Sio huo uliouwaza ni utelezi wa tope..!
Sio tope hilo ulilowaza ni tope la udongo wa mfinyanzi😂
Na sio huyo mfinyangaji uliyemuwaza..
https://www.facebook.com/share/r/1DscYuiS6o/
Moja ya raha za duniani ni kwenda sehemu ambayo hujawahi kwenda kabla, kuona watu wapya na kujifunza mambo mbalimbali. Safari huweza kuwa ya ndani au nje ya mipaka ya nchi uliyopo
Kikwazo cha...
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.
1. Ana sumu inayoweza...
Zamani tulizoea kusikia habari za misukule kule vijijini ambapo mtu anafanywa msukule wa kimwili, anazikwa kisha anaenda kulimishwa mashamba usiku.
Siku hizi ulimwengu wa giza umeweka kambi...
MLianza na 20, 30, ikaja 50, ikaja 80, sasa hivi 100k
Laki moja imekuwa sasa kama trend.
Tena hamjali hata hali ya mtu kisa tu ni rafiki au ndugu
Hivi haya yootee ya nini, jamani,
Si mchukuane...
It was a scene straight out of Wakaliwood.
During a surprise inspection by Hoima District Chairperson Uthuman Mugisha Kadiri at Kabaale Public Primary School, a stand-in teacher dramatically fled...
Salaam,hii ni orodha ya waongo nguli duniani.
1.Mo dewji
2.Viongozi wote wa Simba
3.Wanasiasa
4.Wasichana waliozaliwa kuanzia 2005
5.Madalali.
Nawasilisha