JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Pole sana wasomi wa JF, wasomi uchwara, wazee wakukaza mafuvu, endelea kusubiri ajira. Umesoma ili ukomboe jamii ila leo unategemea jamii ikukomboe 🤔. Bora kukosa elimu ukawe na akili, kuliko...
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Wasalaam Usiku wa kuamkia leo niliota nimevamiwa na majambazi, nikaamka kuangalia saa ni saa tisa na dakika nne usiku. Nikatoka sebuleni nikaona mtu ananifanyia ssssssssssssshhhh kuashiria nikae...
5 Reactions
216 Replies
9K Views
Kiukweli daah kunaa watu wana bahati sana hapa duniani Nimekua nikisaka mitandaoni nipate japo rafiki tu wakishua atleast tukipiga story tuki flirt nijue na flirt na mtu wa next level naamini ilo...
5 Reactions
73 Replies
3K Views
Hivi inakuwaje mpenzi wako anakupa hela tena 10k na anakudai? As if ulimwambia akuazime? Na maneno juu ya karaha [emoji4]kweli tukue tuyaone. Nyie mtutunze tu msipate makasiriko.
8 Reactions
84 Replies
5K Views
Nakumbuka nilipokuwa mdogo, babu yetu alikuwa na utaratibu wa kuwakusanya wajukuu zake wote, na kuwasimulia hadithi mbalimbali; na masimulizi hayo yalikuwa yakifanyika huku tukiwa tunaota moto...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Huyu jamaa Tania yake ni kufungulia habari za manabii tena kwa sauti kubwa baada ya kuwatazama wale wa mama pale mbele ya bucha yake niliwaona kabisa wakionyesha kukerwa na hayo makelele ya radio...
2 Reactions
3 Replies
554 Views
Baadhi ya wanawake wanaoishi kwenye nyumba za kupanga mnatabia ya kuoga maji bafuni lakini gaga mnakuja kusugulia nje bila kujali kuna nani . Hivi shida ni nini ?😩😩😩
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Hi, Tabia zako zinatosha kukuelezea wewe ni mtu wa aina gani. Imagine mgeni anafukuafukua msosi kama yuko mgodini kutafuta nyama, lengo lake ni nini au anataka wenyeji tule pilau kavu? Binadamu...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Back in 1994, Gabriel met Christina at a party and they really hit it off. They ended up getting married even though she was 30 years younger than him. They were happily married for 20 years...
2 Reactions
0 Replies
618 Views
Ninayo picha yake na nilitamani niipakie hapa lakini kwa bahati mbaya sikupata idhini yake. Alikuwa na rangi ya Maji ya kunde hivi, Mzuri wa sura (ya duara) na macho makubwa meupe ya mviringo...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
25. Get Your Tongue Outta My Mouth 'Cause I'm Kissing You Goodbye. 24. Her Teeth Was Stained, But Her Heart Were Pure. 23. How Can I Miss You If You Won't Go Away? 22. I Don't Know...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ikifika saa 5 wote tuwe tumeshalogout, maana hali ya hewa inaruhusu kwa kifo(kilimo) cha mende (maharage) supu ya mbuzi kagoma kwenda na kilimo cha kuchuma tembele.
5 Reactions
36 Replies
1K Views
Karibu useme ukweli wowote usiosemwa au mwambie mtu yoyote ukwel kumhusu Naanza Mimi Tanzania upinzania Bado hawajajipanga kupokea nchi, wakubwa wengi machawa wa chama tawala. Tuendelee kuiamin...
9 Reactions
72 Replies
3K Views
Kesho kutakuwa na hasara ya magazeti kununuliwa pamoja na vipindi vya michezo maana nchi ina majonzi, ni MBUMBUMBU pekee ndio wenye furaha.
0 Reactions
16 Replies
981 Views
Dah hizi radi za hapa Dar this week zitatumaliza soon nime ghail kwenda taifa kisa radi af nguo nyekundu na radi si hazipatani kabisa?
10 Reactions
82 Replies
2K Views
Tuliopo kwenye ndoa! Je una lolote la kumwambia mama mkwe kuhusu mtoto wake?
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Hellow African Kuna watu humu mmenipa jina la super mario kila nako pita huku naitwa super mario futeni ilo jina wachumba wananikimbia kisa wana mmenipa jina la super mario
2 Reactions
38 Replies
1K Views
Kwa namna moja ama nyingine, kuna baadhi ya mahitaji yanatuwia ugumu kutamka kwa muuzaji mbele ya wateja wengine Ukimuona mteja anakupisha uhudumiwe kwanza wewe, usidhani nia yake ni kukopa...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Suppose someone sends you a lengthy message in capital letters, how will you respond/react to it? Binafsi huwa nachukia sana kuona mtu amenitumia ujumbe kwa herufi kubwa. Yaani hiyo ni sawa sawa...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Back
Top Bottom