JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wherever there is interaction, attraction is bound to happen. Kuna watu humu wamepata flings, spouses, wengine got married and some ended up being catfished. All is life. So lets say someone...
43 Reactions
2K Replies
60K Views
Kama kawa, Kama dawa
5 Reactions
154 Replies
7K Views
Wakuu, kufulia kusikie tu kwa jirani aisee. Hapa nilipo nimefulia kiasi kwamba nimebaki na elfu 4 tu iko kwenye m-pesa. Sasa nataka kwenda kwa wakala kuitoa lakini naona aibu wakuu.
14 Reactions
94 Replies
4K Views
90% ni ukweli😅😅
3 Reactions
4 Replies
452 Views
Mi naanza na IDD yetu, kivyetuvyetu
1 Reactions
14 Replies
995 Views
Hellow Africans, Mimi siyo mchoyo bhana, leo nataka nimtoe mtu out yeyote twende Wavuvi Kemp pale tukanyweee mpaka uchoke wewe. Muhimu uwe na vibe, usiwe mpolee kama msabato no, pale ni kwenda...
16 Reactions
77 Replies
4K Views
Herode Farao Pilato Nebucadreza Etc... Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........ Wasalaam 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
8 Reactions
168 Replies
7K Views
Hamjambo vijana, Mimi kama mimi ningefanya hivi; Ningebadili duni yangu kuwa pepo yangu, ningefanya kila niwezalo kupata nivitamanivyoo kufurahisha nafsi yangu. Kwako Johnnie Walker na...
1 Reactions
11 Replies
881 Views
Guys huyu last born kanishinda jamani, Mwanaume muda wote my momy my dady Jamani nime mchoka natamani kumuacha
13 Reactions
115 Replies
7K Views
Wakuu, Kwanza nilishtuka, na kisha nikajitafakari kidogo then nikaona nikinyamaza itakuwa njema. Nimuite dada, mama, binti ambae ni mwenyeji wa kitambo mbali hapa kwetu. Ghafla bila hiyana...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Mwaka jana mwezi wa nane baba aliniita nyumbani akaniomba nimununulie chupa kwaajili ya kuwekea chai (japo ilikuwepo). Pia akaniomba kabla ya kuondoka nimununulie redio, alifurahi sana kufanya...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
Hongera sana sana wachaga..matusi mmekomesha watu wamekaa mkao Kilimanjaro. Hii ingetakiwa iwe kila mkoa ingependeza sana.
0 Reactions
1 Replies
590 Views
Jana nilikuwa Mikocheni Shoppaz Plaza nafanya shopping kama ya elfu 60 na hivi, sasa vitu vyangu vilikuwa vingi kidogo na wakati naenda kulipia nyuma yangu kulikuwa na Mzungu ambae alikuwa...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Muombe hela tu mwanaume akikutongoza wewe umtaki muombe hela tu akikutumia uyo kweli anakupenda nakuganda 🤗🤗🤗 napenda pesa jaman ukija kwangu unatakiwa uwe mvumilivu na kibunda pia
9 Reactions
75 Replies
2K Views
Natarajia kula eid huko gas city. Wapi kuna hotel nzuri ya 80-100k karibu na beach nije kuenjoy na warembo wa kimakonde
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Kila mtu anapitia ya kwake na kwa muda wake , vitu vingi vinatukwamisha ,vingi vinatujenga vingine vinatuabisha vingine vitupa moyo na furaha. hivi kwamba hali yako ya maisha ya sasa ungeambiwa...
9 Reactions
292 Replies
24K Views
if women would just keep quiet there won't be any problem in family. A wife and husband visited a farm, they saw a bull having sex with cow. The wife asked the farm manager.. "How many times...
16 Reactions
40 Replies
5K Views
Girls of nowdays will bleach their bodies even brighter than their future . Where they will be having black hands, white face , black foot and they will sit on front of church and be singing And...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Jana nilikuwa na safari ya Dsm - Dodoma ndani ya basi la abiria. Ni basi la daraja la tatu, basi la watu wa kawaida tu. Wakati tunaondoka Magufuli stendi, mvua ilikuwa inanyesha sana. Ndani ya...
1 Reactions
5 Replies
688 Views
Yaani sijui kwa nini salon za kike zinasifika sana kwa umbea, kila atakayepita macho nje kumchungulia na kumchunguza wajue mtu kavaa nini, anakwenda wapi yaani ni vituko. Sasa juzi nilikwenda...
2 Reactions
5 Replies
663 Views
Back
Top Bottom