Hello 👋
Kuna vitu vitatu hapa je wewe kwako kipi ukikosa unapata tabu
MB?
Dakika za maongezi?
SMS?
Mimi nikokosa MB napata homa naona simu ni kopo tu je kwako?
Mishikaki ya kwa Mfojo huko Tabata imekuwa gumzo. Watu wanaisifia sana na Juzi Mfojo mwenyewe alikuwepo radioni Clouds na kasema anauza hadi kilo 200 kwa siku.
Jamani wenye ushuhuda na utamu wa...
Anayeelewa hili fumbo.
Mimba hadi kuzaliwa miezi ni Tisa.
Ila birthday yako ni kila baada ya miezi kumi na mbili.
SWALI
Sasa pale kwenye tisa ya tumboni na huku kumi na mbili mbona kama tunaiba...
Heri ya nusu mwaka , ngoja niwape maua yao watu wafuatao 😂😂
Wanaume wote ambao wako kupambania familia zao no matter what!! Mungu awabariki sana
Wanawake wote masingle maza waliachiwa watoto...
Kwanza naomba niweke ushabiki pembeni, wake zetu kuna wakati wanakera sana sio kwa ubaya lakini maswali yao na jinsi wanavyotaka uwajibu!
1. Ukitaka vita kali usimsifie mke wako, atakuja na...
Mara zote kwenye kila jambo linalokusanya umati kunakuwa na vijimambo nyuma ya pazia ambavyo havipewi kipaumbele.
Sasa katika vijimambo vya Sabasaba vya leo sisi wengine tumeona hii kitu na...
Imagine toka asubuhi... Nipo tu bila nguo hotelini. Naagiza chakula wanaleta na watch movies tu.
Kubwa zaidi nakunywa zangu pombe huku najamba tu na ku enjoy harufu yake. Nimegundua kuwa harufu...
Wakuu,
Unaweza kuona kama swali dogo hivi ila ni la msingi sana,kama hujakutana na mgogoro wake basi kuna siku utakukumba tu [emoji3]
Siku kadhaa zilizopita nilipanda basi kwenda mahali...
Wanasayansi wanasema hashki ya mwanamke ni asilimia 99 kwa maana msisimuko wake katika kujamiana, hili halina pingamizi katika pande zote mbili kwa maana ya sayansi na vitabu vya dini.
UKIBISHA...
Hebu fikiria unaamka tu unakutana na hili balaa...
MDOGO WAKO:Kaka naomba 600,000/= Kwa ajili ya ada . Walisema nisipolipa hawatanipokea kabisa .
BABA MWENYE NYUMBA:Missed Calls 83 na Ujumbe...
"Hello Filipo,
We at JamiiForums would like to wish you a happy birthday today!
It's a special day in your life and NOT just a year older, but a year better!
Wishing you all the great things in...
Habari,
Leo ndio msimamo wetu unaonyesha hov
Makete 9
Njombe 11
Mbeya 13
Iringa 14
Arusha 18
Bado tunafatilia maeneo ya katesh manyara
Nb:vipimo vipo kwa degree centigrade
Sent from my...
Herj ya kumbukumbu ya kuzaliwa.
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa unakutakia heri katika siku yako ya kuzaliwa Ndugu Ali Rajabu Issa.
Katibu wa Idara ya Uchumi na Fedha UVCCM Taifa...
1. Mwanaume ukishakua na gari bhaasi umemaliza kazi.
2. Utawagonga warembo mpaka uchoke.
3. Ulikosa gari hata kama Una bilioni au Una nyumba utaishia kupiga nyetto
Kilimo ni kweli kina kipato kikubwa pia ni uti wa mgongo wa taifa lakini kilimo narudia kilimo kina vitimbi vingi kwa ground.
Ukifika mashambani kunatisha mno wivu, chuki fitina na imani za ajabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.