Nawasalimu katika jina la DP World (chagua muitikio; mkataba uendelee au usiendelee)
Katika maisha huwa tunafanya maamuzi kadha wa kadha kwa sababu zinazoelezeka na kueleweka. Lakini kumbe zipo...
Mimi binafsi si msambaa Ila hawa jamaa wakiongeaga lugha yao Huwa naenjoy sana hususani zile lafudhi zao kama vile hela wanaita hea, nyumbani wanaita nyumbai.
Kabila lingine ni wamakonde...
1 Tim 4:12 SUV
Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi.
Lk 2:52 SUV
Naye Yesu akazidi kuendelea katika...
Elewa kwanza upendo ni nini
Elewa kwanza akili ni nin
Elewa kwanza ndoa ni ni
Eewa kwanza mapenzi ni nini
Elewa kwanza mwanaume ni nani
Elewa kwanza mwanamke ni nani
Elewa kwanza uchumii ni nini...
1. Tunaulizwa kama tunaumwa.
2. Tunaulizwa kama tuna uhaba wa pesa.
3. Tunaulizwa kama tuna stress za maisha plus mapenzi.
4. Tunaulizwa kama tunakula.
Hakuna kitu nisichokipenda kama nikipanda daladala, boda au bajaji especially when kuna foleni na unataka kuwahi wao wanaingia sheri kujaza mafuta.
Hivi wanashindwa kuweka full tank na kujaza...
Hello.
Wana chitcharts ni nani alikuja katika maisha yako ukiwa na uhitaji mkubwa wa jambo alikusaidia kwa asilimia kubwa na Akaenda Hakurudi tena au haukuwahi kuendelea kuwasiliana nae.
Kuna...
Wakuu mpaka Leo huwa najiuliza Shunie alienda wapi loo!! Huyu mtu tulipendana Sana humu JF
Enzi hizo ndiyo alikuwa bae wangu humu kila Uzi lazima atupie comment kipindi hicho humu JF kulikuwa na...
Hahahahahahahahahahaha....... Salamu wakuu katika jukwaa .ujue katika maisha kuna watu wanakera sana yaani wanakupa lawama bure wakati hawajui jitihada zako
from no where mtu humjui hakujui (japo...
Na kutokana na Uwingi wa Watu kwa sasa Mkoani Mwanza huku Mahitaji yakiwa mengi na Masoko Kuongezeka hasa Soko Kuu ili Kujikinga na Mabalaa yasiyotarajiwa ( hasa Moto ) naishauri Serikali kuanzia...
Habari wakuu
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa...
Namshukuru Mungu kwa mwaka mwingine...
Nina maswali kidogo...
Hivi siku ya kuzaliwa ni muhimu kusherehekea?
Na kama ni muhimu kwanini?
Habari.
Wikiendi imeanza.
Kiuhalisia ninaweza kuonekana mjinga ila ninakuja na mada hii.
Karibu kwa kubishana leo Tubishane mpaka Tuchoke.
Ila Tusitukanane
Jamani tutafuteni pesa kwa bidii tuache kuendekeza chuki na wivu kwa wenzetu waliofanikiwa.
Mwenzio yupo tu sawa anakula nyama kavu bila ugali afu wewe unahisi Kama jamaa anaharibu mboga 😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.