JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wadau draft ilo apo wenye uzoefu hiyo king ya blue inaoption ya kula kete tatu izo au inauwezo wa kula izo mbili limenichanganya kwa kweli
2 Reactions
10 Replies
689 Views
Habarini wapendwa. Leo nimekaa nikawa nimepitia. Insta nikaona x kapost picha yake nikakumbuka neno mmoja mabalo nalikumbukka mpka leo liliniuma sana. Alinisumbua sana ikafika mahali nilipewa...
11 Reactions
141 Replies
7K Views
Wazee weekend inaingia, kuna mitoko na familia, nauliza bei ya misosi ya Serena hotel ikoje? Mwanaume nataka kubadili upepo kidogo Mke na watoto wangu wasizoee sehemu za kawaida ,
7 Reactions
62 Replies
4K Views
Wadau eti ilo draft lina option ngap za kula kwa kutumia iyo king ya blue Je nilazima kula kete zote izo tatu au Kuna option nyingine ya kula kete izo mbili
0 Reactions
3 Replies
423 Views
Jiulize kwanini sio wewe? Wamekufa wema kuliko wewe vijana kuliko wewe watoto kuliko wewe Umenipendelea baba🙏🙏🙏
0 Reactions
1 Replies
260 Views
Anasema kuwa anajuta kuchora Tattoo kwenye mwili wake lakini cha kushangaza ni hataki kuzifuta hizo Tattoos. Wengine sasaivi wamegeukia upande wa dini lakini bado wanazo hizo Tattoos na hawataki...
3 Reactions
4 Replies
500 Views
Tukio linaloendelea sasa ivi hapa tanga mjini maeneo barabara ya 12,katika hali isiyo yakawaida dada mmoja aitwae Nusurat Khamis mweny umri wa miaka 22 amekutwa na vichwa viwili kweny mkoba wake...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wanafamilia nimerudi tena dada na mdogo wenu kutoka Kanda pendwa ya ziwa mkoa wenye wasomi wa kutosha Nashukuru waliokuja pm kuniulizia kama nipo hai,nawathibitishia kuwa bado nipo hai na ni...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
......... Utampata pale ulipopaki gari yako! Msituchoshe.
3 Reactions
9 Replies
348 Views
Hellow Leo nimefika shop kununua pipi kifua kifua kidogo kinanisumbua so nikasema ngoja nipate pipi kifua, nikatoa jero ili nipate kumi naambia moja 100 sio 50 duh nikauliza kwanzia lini wakasema...
8 Reactions
46 Replies
2K Views
Mwalimu gani enzi hizo ukiwa shule alikufanya ukaipenda shule au somo fulani? Mtaje hapa
1 Reactions
3 Replies
329 Views
Hadithi ya kuvutia sana Soma mpaka mwisho...utajifunza kutunza siri. Siku moja Mwanaume mmoja mtanashati sana aliingia hotelini na akaomba kumuona bosi. Bosi alipokuja, hadithi ikaanza. Mteja...
1 Reactions
0 Replies
536 Views
Mfano : Mimi ndiye niliweka mchanga kwenye firigisi za kuku.
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Amin usiamin hapa JF kuna majukwaa (Forums) nyingi sana, kuanzia Jukwaa la siasa, Hoja mchanganyiko, Jukwaa la mambo ya kimataifa etc. Licha ya kuwa member wa JF kwa miaka mingi lakini kuna...
2 Reactions
35 Replies
1K Views
As per attached pls help m
4 Reactions
5 Replies
500 Views
3 Reactions
4 Replies
686 Views
Kuna huyu aliyesema; " I stared my restaurant with one spoon of rice and one drop tomato sauce"
0 Reactions
4 Replies
453 Views
Hadithi ya kuvutia sana. Soma mpaka mwisho, utajifunza kutunza siri. Siku moja Mwanaume mmoja mtanashati sana aliingia hotelini na akaomba kumuona bosi. Bosi alipokuja, hadithi ikaanza. Mteja...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
Nimelishuhidia zaidi ya mara moja katika sehemu tofauti! Kipande kimoja cha sabuni kinatumika kwa matumizi zaidi ya moja: 1. Kuoshea vyombo vya kupikia 2. Kuoshea vyombo vya chakula 3. Kuoshea...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Ndio maana inaitwa simu ya mkononi kile ni kifaa cha matumizi yake binafsi sio matumizi ya familia. Na unapekua simu ya mmeo ili ugundue nini? Ili iweje? Wanawake wengine bana! Umbea tu na wivu...
6 Reactions
47 Replies
3K Views
Back
Top Bottom