JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakati rais Samia akifungua reli ya SGR alisema utaratibu unaandaliwa kwa wawekazaji binafsi kuwekeza katika reli hii. Wakati wakina Bakhresa wakijiandaa kuchangamkia fursa hii. Ni wakati sahihi...
6 Reactions
16 Replies
621 Views
Yani mnachukulia usingizi ni kitu serious sana mpaka mnakuwa na nguo za kulalia, Yani mtu anakuwaje na nguo za kulalia? Mimi najua unajitupa tu kitandani unalala Ivo Ivo. Nguo zakulalia tena?
31 Reactions
117 Replies
3K Views
Sasa jamani ndio kila kitu tubeti jamani?😆
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Eti, Mwanaume kamili anatakiwa kuwa na Sifa zipi ? Changia maoni kwa utulivu wa akili
0 Reactions
8 Replies
499 Views
Napenda sana kufuatilia hadithi za ujasusi na Intelijensia ni Msimuliaji gani aliye bora katika eneo hili? Na katika digital platforms anapatikana kwa jina lipi?
0 Reactions
4 Replies
569 Views
Haha itikia sasa...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Nimeamua kutoa mapema tu Taarifa hii ili ID yangu isipoonekana kuanzia Saa 3 Kamili ya Usiku wa Leo msinishangae.
7 Reactions
15 Replies
865 Views
Bila hofu yoyote mtakua fresh nyote ambaye hayuko poa pole yake tuambie ni mkoa gani ambao una ongoza kuwa na watoto wakali a.k.a wazuri (warembo)? Hapa Tanzania Karibuni sana
2 Reactions
205 Replies
50K Views
Nimeyakumbuka maneno ya Mbwiga wa Mbwiguke nipo zangu mochwari nacheza na maiti. ama kweli ukiona madaftari mazito subiria kubeba mfuko wa simenti.
4 Reactions
12 Replies
610 Views
Sijafikaaa hata lugalo Nkakumbuka tushike sana neno la Mungu Nakunja kona ya Kawe nkakumbuka math 2.4 Waovu watakimbia bila kukimbizwaa Nimerudi zangu najimwagia maji ya upako Asbh njema wapendwa
12 Reactions
29 Replies
2K Views
Rosti shata shata.. Rosti mboga mboga au kavu.. Embu tupe ujuzi wako mdau..Vipi kuhusu viungo.. Unapenda iwekewe viungo au unataka ule ikiwa na ladha yake tukufu?
11 Reactions
356 Replies
54K Views
  • Poll Poll
Kwema Wakuu! Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humu wengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu...
16 Reactions
837 Replies
27K Views
LEO NIMEZALIWA
3 Reactions
37 Replies
1K Views
Mko vyema wakuu? Kama kichwa kinavyosema. Weka kichekedho unachodhani hatujawahi kusikia watu tufe mbavu. Mi sina kipya, nasubiri kutoka kwenu🤣🤣🤣
1 Reactions
7 Replies
513 Views
Unatamani kufa ukiwa Mzee hujiwezi kwa lolote, au unatamani kufa ukiwa na nguvu zako?
3 Reactions
19 Replies
569 Views
📸
42 Reactions
397 Replies
14K Views
Kumbe Treni ya Moshi - Arusha ya Komredi Polepole bado ipo Mungu wa mbinguni awabariki sana Wachagga 😀😀 Mlale Unono
2 Reactions
3 Replies
483 Views
Yaani ukiambiwa hivyo badala ya kujibu unaanza kupata wasiwasi. Sijui tatizo nini? Baby nakupenda! Baby mwenyewe 👇🏽
26 Reactions
312 Replies
9K Views
Taja!!!!!! Note: Acha kuigiliza wenzako tafadhali
4 Reactions
110 Replies
4K Views
Ukiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi? Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao. Wengine kwa wake zao na waume zao. Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi...
8 Reactions
105 Replies
3K Views
Back
Top Bottom