JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Umewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma. Utasema ooooh...wengine...
14 Reactions
73 Replies
2K Views
Hizi tuzo naona kama wanagaiana wenyewe ni kama wamepanga matoke yao huyu dada hajui kitu huyu esma na mama mawigi hakuna kazi wanafanya
4 Reactions
18 Replies
749 Views
Leo asubuhi kwenye redio ya kabajaji, wakati nakuja kwa mkoloni:Haka kawimbo ka TOT kalinitafakarisha mengi sana: Ooooh oooh *****, Usilie na mimii mamaeee, Mpenzi wako mimi sijamwita eeeh, Kaona...
2 Reactions
142 Replies
14K Views
Nishawai toka kyela hadi Mbeya na Manzi na sikumsemesha neno lolote!! Alinikuta nimekaa hakusalimia nikasema wacha niupokee huu mpira kama ulivyokuja!! Ama nilizingua? BRAZA CHOGO Nikifa...
13 Reactions
44 Replies
2K Views
Wandugu kama mjuavyo wengi wetu tumesoma shule za st. Kayumba kwa hiyo Ngeli ni ishu kwetu. Basi kwa kuunga unga hivyo hivyo nikachaguliwa Chuo (UDSM) sasa kufika huko si ndo mambo ya Seminar za...
41 Reactions
404 Replies
67K Views
Dakika chache kuanzia Sasa ID hii ya ndege JOHN Inafungwa rasmi Tukio la ku log out na kufuta app ya Jf nilitaka nilifanye Jana Ila mambo yakawa mengi baada ya pigo la gwajima kuingilia safari...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Kama ilivyo sentesi ndefu, haikosi kuwa na koma. Nami leo naomba niweke koma kwa utumiaji wangu wa JF. Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu, ninasikitika kuwataarifu wote kuwa tangu leo...
5 Reactions
104 Replies
9K Views
3 Reactions
2 Replies
282 Views
Simulizi hizi unaweza kuzisoma Bure ndani ya app ya Maktaba Sauti. Ipo Playstore. Huyu mzungu alizaliwa huko New Zealand. Baadaye akaja kuishi kwenye mapori ya mto Rufiji akiwa muwindaji. Majina...
2 Reactions
14 Replies
924 Views
Niny maisha magumu hela haikai ase hadi roho inauma
9 Reactions
79 Replies
2K Views
Ikitokea katika chumba/Nyumba yako zikafungwa CCTV Camera, ni mambo gani utakayopunguza kuyafanya?
7 Reactions
183 Replies
5K Views
Kutuamsha salama Kutufikisha kazini salama Na kumwamsha huyu anaesoma hapa salama Utusaidie turudi salama na tukumbuke kutoa shukran kwako kila iitwapo Leo Kama waamini sema amen
2 Reactions
3 Replies
213 Views
Basi kama na nyie pia mnaitaka Mimba aliyopewa Namungo jana vuteni subira mtakuja kupewa / kujazwa 8/3/2025 Ok?
0 Reactions
1 Replies
334 Views
Ana Kipaji cha hali ya juu mno cha Uchekeshaji na pia ni Mbunifu mno. Apigiwe Kura nyingi ili aweze kuibuka Mshindi Ok?
3 Reactions
5 Replies
664 Views
Kausiku kameingia, njooni tuzogoe. Mpo humu wanaume ambao mnapenda muachiwe mbususu zikiwa na minywele imetaradadi, wakinyoa mnakasirika mfano mzuri huyu hapa "Mwanamke kunyoa sehemu za Siri bila...
8 Reactions
95 Replies
3K Views
1. Mara 2. Arusha 3. Mwanza 4. Geita 5. Shinyanga 6. Mbeya 7. Rukwa 8. Katavi 9. Songwe 10. Iringa
14 Reactions
140 Replies
4K Views
Nimeenda kununua hizi Mali ,nikaingia nazo kwenye dalala aisee Nikasikia wanaanza kusali🤣🤣😂😅😆 Kisha wakamwambia konda anishushe,eti Mimi sio mtu WA kawaida Jamani weusi wenzangu acheni ushamba...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuna watu unakuta wanaulizia ID flani za JF baada ya kutoonekana kwa muda. Kuna watu hupata ushauri ambao unawaondoa kabisa kwenye hali waliokua nayo. Kuna watu husema wamekua addicted na JF...
21 Reactions
155 Replies
5K Views
Hakika imeenda vizuri sana na nimefurahia 😊. Kwako imeendaje hii siku?
15 Reactions
153 Replies
4K Views
Sina hakika kama ni Afrika nzima au Mtanzania tu. Wengi wao akikupigia simu baada ya kupokea simu yake na akagundua kuwa haukuwa mlengwa, basi hukata simu ghafla bila maelezo yeyote. Huwa kuna...
3 Reactions
13 Replies
707 Views
Back
Top Bottom