JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu kwema, Kuna vitu mbalimbali ambavyo vinatambulisha maeneo fulani bila hata ya kuangalia location ya mahali ulipo. Tuvitu vitu ambavyo ni spesho kwa kwenye mji huo. Ntaanza mimi; -...
6 Reactions
27 Replies
1K Views
Yessssssss.. niaje! Asee kazi nyingine ndugu zangu sio kazi. Mshahara 180 or less na hapo hujafanya kosa. Unagewa mkataba huo unaweza ukalia na unaambiwa kama hauuwez tunakuruhus njia ile...
35 Reactions
270 Replies
10K Views
Hapa kuna jambo kidogo. Mi nipo nakaa kwa kijanamke kimetoka Uganda. Nilikitwanga kweli kweli mwaka mzima. Kinakaa kwangu buree Nikafukuza kiende kilikotoka. Ilikua baada ya ya kuniletea...
2 Reactions
0 Replies
330 Views
min -me Nimekucheck pm mwezi iliopita kuwa natafuta ajira. Unanihakikishia kabisa utani connectia na supermarket yenu ya familia iitwayo "Minimal Price" iliopo mwenge. Ukaniambia hata nikishafika...
14 Reactions
50 Replies
2K Views
Kuna kitu huwa kinanistaajabisha kidogo hapa bongoland hasa kuhusu jamii ya watu wanaotuzunguka. Yani mtu ukiwa huna shobo zile za kindezi kwa watu au kushabikia mambo ya kipuuzi puuzi basi jamii...
2 Reactions
5 Replies
477 Views
- Mbaba anayemiliki kipara hasa kile cha kung'aa - Mbaba mwenye kitambi - Mbaba anayevaa suti akiongezea na tai ndo ina thibitisha ana vibunda vya kutosha - Mbaba yeyote anayevaa miwani hata...
5 Reactions
16 Replies
615 Views
Leo ni tarehe 0! :Loading:Tarehe ya leo ni ya kipekee kabisa, inaundwa na number 0, 2 na 5 pekee 25-02-2025. 2(5-0-05)=0 :PensiveWobble:!
5 Reactions
10 Replies
867 Views
Kama usiku ukikosa usingizi unafanya nini? Mimi naimba pambio
2 Reactions
53 Replies
2K Views
Mama zetu wa kipindi cha nyuma walikuwa hawaachi maagizo Moja kwa moja.Lazima aseme kwa mafumbo Mfano akitaka kutoka anataka kuwaambia mfanye kazi fulani utasikia. Msiende kusanga hayo mahindi...
6 Reactions
41 Replies
1K Views
Habari Wakuu! Nimejikuta ninacheka tuu. Unajua haya mambo ya kizungu yanatutoa wengi nishai, wenge, Knockout. Yalinikuta, niliyakanyaga. Picha linaanza uncle kanipigia simu niende ofisini...
11 Reactions
41 Replies
3K Views
#PilikaPilika: Kwa tafsiri rahisi “Msela” ni mtu wa aina gani? #PilikaPilika #HainaKuchoka Msela ni mtu asiyejali chochote. Apate chakula anafurahi. Asikipate anafurahi. Aibiwe anacheka tu...
3 Reactions
9 Replies
944 Views
Najua wengi hawawezi amini mimi ni kijana wa kitanzania niliyesoma na Elon musk na huwezi amini alikuwa mweupe sana darasani. Kwa wale wabishi nitapublish picha ishirini nikiwa nae darasani pale...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Happy New Week, Kama thread inavyojielezea, jitahidini kukontrol ndoto, baadhi huambatana na mambo ya aibu kama ukiziendekeza. Jamaa yangu juzi kanipigia stori yaliyomkuta. Kama kawaida...
9 Reactions
8 Replies
427 Views
Wakuu`huu uzi ni maalumu kwa video za kuchekesho,vioja na video fikrishi
1 Reactions
4 Replies
559 Views
Kwamba, kila mtu ni tajiri… Kila mtu ana gari/ magari. Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba. Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume. Kila mdada ana umri chini ya miaka 20. Kila mtu hivi...
30 Reactions
144 Replies
4K Views
Kukosa hela hakupendezi.. Ni hayo tu
16 Reactions
118 Replies
2K Views
Wanawake wengi Pwani , Dsm , Lindi na Mtwara hawavai kabisa nguo za ndani ( chupi). Unamkuta mwanamke kavaa dela , khanga , gauni, taiti au suluari lakini ukimkagua unaona ndani ni kama...
7 Reactions
46 Replies
7K Views
eti wakuu? Hilo penzi lenu na huyo baby wako mmefikia hatua gani hadi sasa? Je mnajiona mkitoboa miezi 6 au tuwaache kwanza?
5 Reactions
43 Replies
1K Views
Watu wamekua wakinisumbua sana kwenye simu usiku silali etu tutoke out dahh! kisa JamiiForums ahaa naondoka nimechoka.
4 Reactions
149 Replies
7K Views
Back
Top Bottom