JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nyie wazururaji nijuzeni Mimi nilikuwa sijui mmiliki wa samaki samaki anaitwa nani na Kuna mtu kaniambia ndo mwenye wavuvi camp..swali langu fupi ni je mwenye hizohizo samaki samaki za dar masaki...
0 Reactions
4 Replies
449 Views
Mim nilikuwa na mwalimu wangu wa biology ambaye kila mwaka lazma anikamate kwenye tukio la peke yangu na akinikamata ilikuwa ni kiminyo kikalii
1 Reactions
1 Replies
160 Views
Naamini kila mtu ana ndoto, malengo, mipango na maono ya maisha yake. Kwako, ni vitu gani ukivipata maishani vitakufanya ufurahi, uridhike na kusema kweli ndoto au malengo yako yametimia.
11 Reactions
168 Replies
5K Views
Mbona sijajenga? Mbona sijapata kipato cha uhakika? Mbona sina gari? Mbona sitengenezi faida ya uhakika? Mbona sijaoa/sijaolewa? Mbona sina mtoto? Mbona sina akiba? Mbona nachelewa? Mbona...
11 Reactions
95 Replies
3K Views
Na niweke wazi, nimeoa na hakuna nafas ya kuongeza mke mwengine.
11 Reactions
101 Replies
3K Views
Wakuu tayari jina lipo mezani. Hivyo nawataarifu TANESCO mjipange mapema. Ni mwendo wa kazi na bata!
3 Reactions
17 Replies
866 Views
Kama umesoma haya majarida enzi hizo, basi ni muda sasa wa kuanza kupunguza kula sukari na chumvi.
2 Reactions
8 Replies
367 Views
Utangulizi: Kwa Minajili ya Usiri/ confidentiality sitamtaja moja kwa moja mzee huyu aliyeishi Mkoa mmoja wa Kaskazini. Alifariki akiwa na miaka 104 Alikuwa na wake watano, waazuri wenye shape...
9 Reactions
56 Replies
2K Views
Nimekutafuta kwa muda mrefu, sijafanikiwa kukupata!! Naamini kabisa utakuwa member hapa JF.. and this is the only way for me to confess and let you to know the truth!! I got ur number kupitia...
5 Reactions
95 Replies
9K Views
Kwanza napenda niwapongeze 'Startimes' kwa kuiondosha kabisa chaneli namba 322 kwenye king'amuzi chao ambayo ilifahamika kwa St SA Music na kubadilishwa kusomeka St Kasi Music. Chaneli hii...
1 Reactions
0 Replies
264 Views
Kama hali iko hivi wanawake ni hateri, kanisa karibia nusu ya wanawake wamesha tumukishwa na wanaume zaidi ya 100, na wa onea huruma wanao tafuta wanawake wa kuoa makanisani. Loh angalia hi vidio
2 Reactions
18 Replies
629 Views
Kwema wakuu Mambo gani ambayo ni muhimu kuyafanya kila siku? kwa ustawi wa maisha bora; kiafya, kiuchumi, kijamii na kifamilia Waweza kushare maoni yako hapo chini ni bure kabisa haulipii!
6 Reactions
137 Replies
4K Views
Ikiwa ni ruhusa labda mtu awe na kibali ,ni urahisi upi uliopo wa kupata kibali ? Kuna nchi hizi za dunia ya tatu wananchi wanabeba silaha,hapo Somali ni kawaida kumkuta mtu ana kifaru nje ya...
6 Reactions
31 Replies
1K Views
Kwani siku hizi hakuna zile familia za "CHUKUA MILLION 5 UKAE MBALI NA BINTI YANGU" Ali Nassoro Px Facebook
2 Reactions
2 Replies
203 Views
Wanaowiwa na kuamka alfajiri! Hii ni club ya wanaotoka asubuhi kwenda kuchakarika na pia wanaoamka mapema kama sehemu ya kuweka mwili fiti (mazoezi) au kufanya siku iwe bora. Kama we ni mpenzi wa...
7 Reactions
51 Replies
2K Views
Heshima mbele, kwema bandungu Hili onesho la wanaume na wanawake kutafuta wapenzi/wenza kwenye show lina uhalisia au ukweli? ama ni maigizo ili kupata kipindi cha kuuza kwenye TVs?
3 Reactions
69 Replies
3K Views
Karibuni, Raha jipe mwenyewe, kula chips yai haviondoi uanaume wako.
2 Reactions
5 Replies
425 Views
Habari za muda huu wanadau wa JamiiAfrica? Juzi kati nilikutana na wazee wawili njiani,wakipeana ushauri wa jinsi ya kutumia hela anayoipata kwenye shughuli zake,kilichonishangaza ni pale mmoja...
5 Reactions
6 Replies
466 Views
Kuna mambo yanashangaza . Wakati naishi uswahilini , nilipanga Eneo moja ndani ya chumba kulitokea panya ambao hawakujulikan wanatoka wapi. Ila story ilipo ni hii hao panya walikuwa wadogo...
4 Reactions
31 Replies
1K Views
Leo ukipewa chakula chako pendwa au mtu akikukumbuka na Tsh. 100, 000, siku yako itakuwa safi eeh? Mimi nikipata Kitimoto choma ya mbavu na Mocktail moja safi nitaanza weekend mwepesi kabisa...
12 Reactions
36 Replies
1K Views
Back
Top Bottom