dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,020
- 2,157
Kwanini usipooa/olewa ni ngumu kupata chumba cha kupanga?
Lakini sio chumba tu; hata nyumba, ajira, na heshima?
Lakini sio chumba tu; hata nyumba, ajira, na heshima?
Wengi ambao hawajaoa/hawana mwanamke ujue hata hela hawana. Ndio maana wenye nyumba wanawachomolea maana wanajua watakuja kusumbuana tu kwenye kodi.Si kweli! Tafuta hela uone kama kuna ukweli
HahahaWengi ambao hawajaoa/hawana mwanamke ujue hata hela hawana. Ndio maana wenye nyumba wanawachomolea maana wanajua watakuja kusumbuana tu kwenye kodi.
Nilipanga chumba maeneo fulani Dar Kinondoni. Sharti la Mama mwenye nyumba ilikuwa ni kwamba yeye anapangisha Mwanaume ambaye hajaoa tu. Hapangishi aliyeoa wala mwanamke.Mwanaume ambae hajaoa halafu awe na pesa ni kama au zaidi ya almasi, atasumbuliwa na wote, kuanzia wake wa wapangaji wenzie mpaka mama mwenye nyumba.
Wapi huko mkuu?Kwanini usipooa/olewa ngumu kupata chumba
Lakini sio chumba tu hata NYUMBA,AJIRA,HESHIMA??
Pesa ndio heshima,uwe umeoa hujaoa,UMEOLEWA hujaolewa...Si kweli! Tafuta hela uone kama kuna ukweli
Pesa ni mwisho wa matatizoPesa ndio heshima,uwe umeoa hujaoa,UMEOLEWA hujaolewa...
Ni ngumu wapi ??Kwanini usipooa/olewa ngumu kupata chumba cha kupanga?
Lakini sio chumba tu; hata NYUMBA, AJIRA, HESHIMA?
endelea kutupa ushuhudaNilipanga chumba maeneo fulani Dar Kinondoni. Sharti la Mama mwenye nyumba ilikuwa ni kwamba yeye anapangisha Mwanaume ambaye hajaoa tu. Hapangishi aliyeoa wala mwanamke.
Yes, kila mwenye nyumba ana masharti yake.Watu mnabisha tu ila mimi 2013 nilikataliwa kwenye nyumba kwa sababu niko singo.
Nikamuuliza sababu akasema wanawake wana majungu sana na wanaume muda mwingi hawakai nyumbani.endelea kutupa ushuhuda
hahahahahh! 🤣🤣🤣Nikamuuliza sababu akasema wanawake wana majungu sana na wanaume muda mwingi hawakai nyumbani.
Nilikipenda chumba na nikachukua. Ebana wewe baada ya kuhamia ndio nikagundua mle kulikuwa na wadada wa3 na hawakuwa na waume. Nilikaa kile chumba miaka miwili na nikatoka bila kugusa jirani.