JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
  • Sticky
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992. 2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka...
103 Reactions
2K Replies
466K Views
  • Sticky
Wandugu, Thread hii ni mahususi kwa chochote unachokumbuka enzi unasoma shule ya msingi. Mimi binafsi nakumbuka enzi zile nasoma Issale primary school kule wilayani Mbulu miaka ya 1986-1991...
18 Reactions
460 Replies
91K Views
  • Sticky
~ Got chased by the headteacher and deputy head. A whole crowd of us in school uniform were in one area our school had forbidden to enter, otherwise could result in expulsion. Only 2 were caught...
55 Reactions
721 Replies
193K Views
  • Closed
  • Sticky
Kila jukwaa lina watu ambao wanakuwa ni members ‘zaidi ya wengine' tokana na mapenzi ya kila member. Katika majukwaa yote hili la CC limekithiri tabia za uchochezi na undumilakuwili kwa...
117 Reactions
91 Replies
85K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
311 Reactions
182K Replies
7M Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
128 Reactions
422K Replies
16M Views
The Weekend - Out of Time
31 Reactions
12K Replies
340K Views
Kuna wakati nimejikuta nikifikiria sana kuhusu maisha ya mwanadamu na jinsi ambavyo kila mmoja wetu amekuja kuwa yeye. Kwa nini mimi nimekuwa mimi? Kwa nini wewe umekuwa wewe? Na kama mambo...
10 Reactions
61 Replies
385 Views
Umeshtuka usiku unasikia kiu, sasa lile wenge la usingizi unasahau dumu ambalo lina maji ya kunywa unachanganya na ndoo yenye maji uliosuuzia vyombo vichafu usiku unayochota na kunywa, 🤮
4 Reactions
5 Replies
65 Views
"Don't waste your time on revenge. The people who hurt you will eventually face their own karma.🎯" Usaorere ifre lyako o mndu ula kukoora kisasi. Wandu wala wakukorere ufi, upu upu wavone ifre...
6 Reactions
45 Replies
387 Views
Jibu kwa ufahamu ama uzoefu wako tuu.. Hakuna kutumia AI
11 Reactions
76 Replies
448 Views
Wandewa, faragha sio uwanja wa mapambano ya ngumi au mbio za mita mia! Ule ni mchezo wa bao la kete—unataka akili, subira, na kucheza kwa kunyata sana. Unalivaa futa utadhani unakamata mwizi wa...
2 Reactions
39 Replies
287 Views
MLianza na 20, 30, ikaja 50, ikaja 80, sasa hivi 100k Laki moja imekuwa sasa kama trend. Tena hamjali hata hali ya mtu kisa tu ni rafiki au ndugu Hivi haya yootee ya nini, jamani, Si mchukuane...
6 Reactions
19 Replies
163 Views
Hapa naongelea yule ambaye hata mpango hana anasubiri kuwa mama wa nyumbani,unaweza kudate mwanamke mwenye mindset hiyo?
7 Reactions
107 Replies
635 Views
Guys nipo mkoa fulani sasa mchana nilikula ugali nikaleta zile mbwembwe za Dar za sili usiku zaidi ya matunda tu, Sielewi nini kimetokea ila njaa inaniuma siwezi kulala na siwezi kutoka kutafuta...
13 Reactions
73 Replies
635 Views
Usikae kinyonge Usisononeke. Maisha bado yapo na siku hazigandi. Unayopitia walishayapitia wengine wewe si wa kwanza na wala hutakuwa wa mwisho Pita hapa uone pia shuhuda za wengine Changamoto...
31 Reactions
430 Replies
39K Views
Mwenye picha yake aiweke hapa tafadhari..!!
3 Reactions
19 Replies
268 Views
Tokea asubuhi kuna kaubaridi fulani hivi . Mwanzo nilijua mambo ya ibada jumapili leo. Mchana hola. Jioni hola Au labda yanga day ? Lakini inaweza kuwa watu wako aut a wenzi wao.
8 Reactions
58 Replies
322 Views
Baada ya kuambiwa alicheka sana alafu akatikisa kichwa, akasema mpelekee na Mama Janeth aangaliye. Mama Janeth kakaa nayo anacheka. Magufuli akasema hebu rudisha huku bwana, na ninyi wanawake...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Pombe ilikufanya kitu gani mpaka ukasema sasa rasmi naacha?
3 Reactions
33 Replies
354 Views
Kimara- DSM Uyole-Mbeya Ccm-Iringa mjini Kiboriloni-Moshi Himo-Moshi Nyegezi-Mwanza Manzese-DSM Tegeta-,Dsm Tabata-DSm Kwa mrombo-Arusha Matejoo-Arusha Majengo-Moshi Sanawari-Arusha Mabibo-Dsm...
2 Reactions
6 Replies
117 Views
Entasupa ntung'anak muj le JF kanyor nanu ndae oleng!
7 Reactions
53 Replies
386 Views
Chitchat ( jukwaa la JF Chit-Chats and Jokes) linajulikana kama jukwaa huru ndani ya mtandao wa JamiiForums ambapo wanachama hupumzika na kupiga soga zisizo rasmi. Tofauti na majukwaa ya siasa au...
14 Reactions
90 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…