Kuna mwenye uzoefu juu ya jambo hili my friends, ladies and gentlemen?
Au kuna mabadiliko ya kiutu na kibinadamu kwenye mambo haya siku hizi ?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Hell
Hali ilikuwaje ulipo date na mpemba mimi kwangu naona ni ngumu hawa wadada wa kipemba et anagoma kunipa mpaka nimuoe na tuna mwezi tangu tufahamiane mimi uamuz wangu ni akiniomba pesa na...
Hivi ni mimi tu ndio nashindwa kutembea na 🪪 wallet au nikitembea na wallet basi nita sahau pahala au nitaangusha naona kubeba wallet naona kama ni shida fulani nimeenda nishazoea sasa...
Habarini za asubuhi waungwana
Husika na kichwa cha habari hapo juu, mimi kijana wa elf2 binafsi nachukizwa na huu msemo uliozuka katika jamii wa watu wengi kutuita sisi vijana wa elf2 eti vitoto...
Yani mtoto akilia sana hanyamazi, anaitwa Anko mwenye sura ngumu, anamwambia “we we, ntakumeza” bas mtoto alimuangalia anaona hili li monster linaweza nimaliza kweli, dogo ananyamaza. Akilia...
Habari zenu Wakuu
Natumaini mnaendelea vyema kabisa.Leo nimeona tuweze kushare matukio au mambo ambayo tulikutana nayo tukiwa katika makambi ya JKT iwe kwa mujibu wa sheria au kujitolea
Tukio...
Kutoka kwenye official page ya Rockstar Games, sasa ni official kuwa Grand Theft Auto VI litazinduliwa rasmi mwakani 26 may tofauti na matarajio ya watu wengi kwamba lingezinduliwa mapema ndani ya...
Wakuu huyu mrembo MAMBISE mchekeshaji wa WATU BAKI nimetokea kumpenda vibaya sana.
Sura yake inanimaliza, pua yake inanitaabisha, tabasamu lake ndiyo usiseme.
Pozi lake linanichanganya mno...
Sheria imewekwa ili ivunjwe.
Tangu nilipoanza kusikia habali za bangi, sikutaka kuamini hivi hivi bila kuifanyia test![emoji4]
Bangi niliipata kiulaini tu (kijijini), nikaiandaa vema kabisa na...
hello jf online... hamjambo wote kwa ujumla
Temperature equivalent
Baba wa mbingu
Masagala
Castle_Lite
osib
Chibolo
Bengalensis
mshamba_hachekwi
Alphonse Kihwele
Babuyao
maiko sultan
Mwani...
Wadau kama Kuna mtu ana boda wake Morogoro mjini anamuamini Kuna vifaa vidogo Kwa bahasha mwanangu yupo Mzumbe chuo anahitaji kupelekewa. Nataka mtu avipokee mjini na ampelekee mpaka chuo ndani...
Nyie wazururaji nijuzeni Mimi nilikuwa sijui mmiliki wa samaki samaki anaitwa nani na Kuna mtu kaniambia ndo mwenye wavuvi camp..swali langu fupi ni je mwenye hizohizo samaki samaki za dar masaki...
Naamini kila mtu ana ndoto, malengo, mipango na maono ya maisha yake.
Kwako, ni vitu gani ukivipata maishani vitakufanya ufurahi, uridhike na kusema kweli ndoto au malengo yako yametimia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.