JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari za Jumapili wakuu; Katika maisha mahusiano, kitu kinachoitwa mapenzi kuna wakati hulazimika kupiganiwa ili yadumu. Hii ni kutokana watu wawili wanaopendana wana makuzi na tabia tofauti...
24 Reactions
285 Replies
14K Views
Kuna ile una ambiwa kapime mchele vikombe 2 wewe unaweka 3 ili ubaki ule na kiporo kesho yake mchana au asubuhi ili tu usile ugali 😂😂 dah nimekumbuka mbali
21 Reactions
150 Replies
3K Views
Wale watoto ni hatari bhn, kwa kweli nikiona dera akili inaruka hata kama sio mzuri sana. Kuna ile staili ya kulibana upande mmoja, ama ile ya kulibana kwenye kwapa, sasa hizo zote tisa kumi ni...
12 Reactions
73 Replies
3K Views
Wakuu poleni na mihangaiko ya hapa na pale. Katika maisha kila mtu anakuwa anakuwa inspired na watu flani either kimtazamo au life style yao inasababisha mtu kuvutiwa nao. Mfano mzuri ni humu JF...
2 Reactions
65 Replies
5K Views
Kuna michango ya Wana ndugu nilikua naichangisha,huu mwezi wa 6 tarehe 30 inabidi niikabidhi,aisee bby wangu si akafiwa na mama ake na inabidi watoe michango akawa na akiba kidogo Sana ikabidi...
6 Reactions
12 Replies
442 Views
Nipo safarini nakuja Dar kuwapa hi na utalii wa ndani Buguruni moja hiyo mwenyeji ajitokeze basi coz mi si mwenyeji sana katika hili jiji zaidi ya Mwanza
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Nilikuwa kwenye ishu zangu hapa Dar, nikakutana na wanaJF 4 pm kwa pamoja wakaniomba tukutane nimewakubalia. Wanaume watatu na mwanamke mmoja, nashukuru kukutana na nyinyi ila nyie ni mabahili...
10 Reactions
53 Replies
4K Views
Sifa awe anaishi Morogoro Asiwe single father au kapera na awe anajishughulisha Location: Msamvu kwa sasa cheo mtendaji
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Nina siku kadhaa hapa Moro ,si mwenyeji saaana,naomba wenyeji wanielekeze sehemu ya kutoka out na kutuliza mawazo ili kesho niwe na ari ya kupokea form za maombi ya sensa na kuzisaini pale ofisini...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Kesho nitakuwa mgeni wenu watu wa Mbeya na viunga vyake Naomba muwe wenyeji wangu
1 Reactions
15 Replies
993 Views
Kuna muda unakuta Dukani amenunua kitu alafu muuzaji anajisahau anakuongezea chenchi pasipo yeye kujua Je ghafla ghafla tu umepokea chenchi umeona umeongezewa alf muuzaji yupo busy Utafanyaje ...
5 Reactions
31 Replies
672 Views
Nauliza kwanini wanaume wafupi wanaringa wanajionesha, wanajisikia na kupenda kuonekana, ila wanaume warefu ni baadhi.
6 Reactions
37 Replies
3K Views
kuna binti nimemsaundisha jana,akanigea namba yake ya whatsaap,leo tumeanza kuchat whatsaap ghafla bin vuu ananiomba vocha,nikamtumia ya book,hii jioni nakuta anasema kama nna elfu tano nimuazime...
3 Reactions
42 Replies
1K Views
So confused......!!!!! Is this true to everyone......????
9 Reactions
15 Replies
418 Views
Jambo la kufahamu sijisifu wala sina nia ya kudharau watu wengine hapana bali naongea ukweli Wako walionizidi kwenye historia na wako watakaonizidi baada ya miaka 100 kupita
16 Reactions
207 Replies
6K Views
Ukipewa box ambalo lina kila kitu ulichowah kupoteza kwenye maisha yako! Ni kitu gani cha kwanza utakitafta kwenye hilo box?
5 Reactions
53 Replies
1K Views
Wale ambao tutafika mbinguni tukiwa tumechoka tukutane hapa 1. Kumnyandua mke wa mjomba tumbo moja na mama,staisahau hii dhambi, Mjomba aliniomba nimpe kampani mke wake wakati akiwa amesafiri...
20 Reactions
293 Replies
30K Views
Mwanamke mrefu anapenda mwanaume mrefu. Mwanamke mfupi, anapenda mwanaume mrefu, Sasa mwanaume mfupi atapendwa na nani?
8 Reactions
38 Replies
4K Views
Habari wana JF, Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa kautafiti kangu kasiko rasmi hasa nikiwa kwenye daladala au kagari kangu ka bei mbaya, nimeshuhudia wengi wa wadada /wamama (sio wote...
10 Reactions
146 Replies
16K Views
Jamani ndugu zetu Wachagga wana majina yaliyo enda shule, na ili uyaelewe shurti uwe msomi. 1. Beautiful Flower Shayo 2. Godlisten Shirima 3. Jesus is God Massawe...... Hebu na wewe tupia jina...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…