JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Manyanza ni mchangiaji maarufu sana kwenye JamiiForums, mwenye miaka zaidi ya kumi kwenye jukwaa. Anajulikana kwa ushauri wa kina, misimamo ya kidini, na mijadala ya kujenga jamii. Ni mtu...
5 Reactions
48 Replies
2K Views
Katika ukuaji wangu huu sijawahi kuona mtu yeyote yule akienda kuomba ushauri kwa maiskini. Sababu kuu itakuwa ni nini? Tunawadharau, Hawana mawazo, Hawana dira, Ubongo wao haufanyi kazi au...
6 Reactions
80 Replies
1K Views
Hii video ameipost Mwenyewe humu Jf kwenye uzi mmoja hivi ...
17 Reactions
74 Replies
3K Views
Maisha ni magumu kwa asiyelima na kufuga, anayetegemea apate shilingi mia ndio iwe unga, kitunguu, nyanya n.k Kama una lima na kufuga, tayari unakuwa na uhakika wa chakula pamoja na hela za...
16 Reactions
63 Replies
1K Views
Habari zenu Watanzania wenzangu, Mwanzoni wakati najiunga na Jamii Forum nilitumia jina la Bheka jina hili lenye asili ya Kizulu lenye maana ya Ulinzi lakini watu wa humu wakalibadili na kuniita...
5 Reactions
42 Replies
1K Views
Elezea kisa kilichokukuta mpaka ukasema hutakuja kuigusa pombe ya aina fulani
6 Reactions
380 Replies
83K Views
Teja kaenda dukani. 1st day TEJA: naomba chakula cha mbwa MUUZAJI: Una mbwa kweli? Sikupi mpaka umlete huyo mbwa (2day) TEJA: "naomba chakula cha paka " MUUZAJI:"mlete paka kwanza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
‎Mimi Logoriddim (JF - expert member since 2013, nimefanikiwa kufika katika 3 bora ya shindano la kutafuta nembo ya brand ya MADE IN TANZANIA. Shindano hili limeandaliwa na TanTrade. ‎ ‎Shindano...
12 Reactions
60 Replies
2K Views
Mke akiamka hakuna zaidi ya kukaa koridorni wakipiga stori habari za familia yao, na umbea wa kutosha. Kuna Huyu kijana ana 35+ hana kazi, hataki kazi. Mama yao ni mkulima kijijini, akiteseka...
14 Reactions
82 Replies
2K Views
01.Ingia jikoni,angalia kushoto na kulia Kama Kuna mtu anakuja 02.Angalia mkao wa mwiko / kijiko umekaaje ili mda wakuondoka uache vile vile usigeuze, usifanye kosa kizembe 03. Fungua hot pot...
15 Reactions
57 Replies
2K Views
Guys nipo Dodoma kwa muda, sasa jana nikapata wasaa wa kutembea tembea mitaani nijionee mji/jiji, basi nikawa napita chocho kwa chocho, mtaa kwa mtaa kila mwanamke ninayemuona kajazia makalio na...
26 Reactions
148 Replies
5K Views
Ni msimu wa ndondi!! Members wa JF Intelligent businessman na Half american (nusu albino) hatimaye wamekubaliana kutwanganq ulingono mara baada ya tambo nyingi jukwaani. Bwana Intelligent...
30 Reactions
136 Replies
3K Views
Habari za wakati huu, Nina shida na Mshana Jr. Ewe ndugu Mshana Jr nimekutafuta PM lakini meseji haziendi. Uonapo uzi huu please naomba unitext. Shukran.
1 Reactions
2 Replies
662 Views
Kwa wale waliokuwa wakiishi Dar miaka ya 80 mnakumbuka mwaka 1987 kuna jamaa na kati ya Buguruni aliyegeuka kuwa chatu? Hii stori ilibamba sana kipindi hicho.
2 Reactions
105 Replies
12K Views
au nawe utanimwaga!!! 😢😢😢
3 Reactions
17 Replies
476 Views
Birthday is the main festival with invitations, wishes, gifts, friends, and free animated ecards.' Enjoy u'r day mutoto muzuri, shansarie keki yangu ya ndafu na mbege mnihifadhie naja huko j5...
10 Reactions
352 Replies
20K Views
01. Angalia mabadiliko ya haraka kwa mkeo: Kila wikiendi jioni, anavaa vizuri na kuondoka nyumbani. Ukimuuliza anasema: "Kinamama tuna maombi ya kufunga na kuomba mwezi mzima kanisani, ntarudi...
14 Reactions
51 Replies
1K Views
Kwa wale wote mliozaliwa Narumu tukutane hapa, ruksa pia ambao hamkuzaliwa ila wazazi ni Wanarumu, mimi nimezaliwa Narumu kijiji cha Usari Isareni, Mzee Ketani Mambito ni jirani yangu, Narumu...
6 Reactions
86 Replies
3K Views
Natamani ungekuwepo muda huu, sasa hivi ninapokuangalia machoni naona njia ya ulimwengu ninayotaka niwepo Walisema mapenzi haya hutokea mara moja lakini sikuamini mpaka muda nilipoona...
40 Reactions
3K Replies
124K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…