Ndugu zangu, nina mapumziko ya wiki mbili na sasa nimebakiza siku 6 tu. Ninataka kwenda Zanzibar kumalizia mapumziko yangu kwa muda wa siku 3. Pamoja nami, yupo shemeji/wifi yenu na mwanangu wa...
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!!
Yaani simpendi...
Teacher asked! You know the importance of the period?
Kid said!Yeah , once my sister said she missed one!, my mum fainted, Dad got heart attack and our driver disappeared
Nyumba za kupanga bwana...!
Jamaa kapata demu akampeleka gheto. Nyumba yenyewe haina Ceiling board..! Katika kufanyiana Romance demu
Akachanganyikiwa, akaanza kuvua nguo fasta fasta, ikafikia...
wasalaam wana chit-chat
Najua unajua ila me nakujuza kuwa muda huu huu unaposoma hii thread kuna mtu anakata roho
mda huu huu kuna mtu anafanyiwa upasuaji
muda huu huu kuna mtu yuko chooni...
Kuna vijana wa kimasai jirani zangu hapa Naibili wamezoea sana kunitembelea. Kwenye kipindi cha uchaguzi kila siku walitaka kujua nini kinaendelea kwa sababu ni wapenzi wa chadema/ukawa. Kila...
I was a very happy person. My wonderful girlfriend and I had been dating for over a year, and so we decided to get married. There was only one little thing bothering me... It was her beautiful...
Habari za jioni wanaJF,
Poleni na mahangaiko ya kila siku. Ngoja niende direct kwenye mada.
Jamani mimi nina mpenzi wangu flani ivi last week tar 22 ilikua birthday yake kutokana na mimi kuwa...
Acha kabisa kufanya mchezo na Bayern! Arsenal si walijifanya kupapasa masharubu ya Bayern pale Emirates kumbe nao wanawalia taiming pale Munich!
Tano si mchezo!
LOWASSA 0 - 5 MAGUFULI
Kuna wanandoa walikubaliana kuwa, wakiwa pamoja na watoto au watu wengine, na wakataka kwenda kupeana ULODA chumbani waseme wanataka kwenda KUPIGA SIMU
Basi siku moja baba akawa na hamu akamtuma...
BREAKING NEWS
FA imefuta matokeo ya mchezo kati ya Chelsea vs Liverpool. Mchezo haukua huru na wa haki, Klopp alijitangazia ushindi wa kishindo kabla muamuzi hajamaliza mpira.
Hivyo...
Wakuu you must believe this! Yaani katika mizunguko yako ya maisha ni bora ukutane na mzungu lazima mtaelewana tu. Wazungu wakijua wewe mbongo hujui kiingereza atajitahidi hata kuongea kiswahili...
Ndiyo nimejua leo...
kumbe baby baby nyingi humu wazee wanasababu zao...
by the way!! nafurahia kuwa na mpenzi wangu shansarie..
my advice to 'Valentina'.... settle!! tulia upendwe.
my...
namini sikuzote ukweli unapobainika kinachofata ni aimbu mana ukweli utakua umejulikana na hakuna pakujifichia mana kila mahala patakuwa hapatoshi mimi namini wegine wanachekelea ila...
Mm ni very outgoing..napenda Sana kusafiri na kutoka ikifika weekend..tatzo linakuja kua I know only few people na Kwa wale watokaji mnajua how boring it can gt kutoka mwenywe..pili am...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.