Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Ndugu zangu, nina mapumziko ya wiki mbili na sasa nimebakiza siku 6 tu. Ninataka kwenda Zanzibar kumalizia mapumziko yangu kwa muda wa siku 3. Pamoja nami, yupo shemeji/wifi yenu na mwanangu wa mwaka 1 na nusu. Mfukoni nimebakiwa na tsh 500,000(laki tano). Je, zitanitosha ktk mapumziko yangu huko Z'bar? Nategemea kufikia hotel na kufanya shopping ndogo ndogo. Mnaopajua vema, nielezeni. Kwa pesa hiyo, ninaweza kui-enjoy Z'bar?