Mahitaji
Unga wa ngano 1/4 kilo
Maji ya baridi kiasi
Chumvi
Mafuta
Jinsi ya kutayarisha
Changanya unga,chumvi na maji taratibu mpaka ushikamane na utengeneze donge usiwe mlaini wala mgumu.Uwe...
Viamba vya upishi
1. Manda za sambusa kiachi 40 -50
2. Mafuta ya kukaangia lita moja
3. Nyama ya kuku iliyosagwa kilo moja
4. Kitunguu saumu na tangawizi iliyosagwa kijiko kimoja
5...
Mahitaji
1)Chicken breast(kata vipande vidogo kiasi)
2)pilipili manga
3)mayai
4)chumvi kiasi
5)unga wa ngano
6)Mafuta ya kupikia
Namna ya kutaarisha
1)Weka chumvi katika chicken breast pamoja...
Habarini wadau,
Huwa sipatikani kwa urahisi kwenye hili forum la JF Chef. Katika pita pita zangu niliona habari ya kuvutia kutoka Marekani.
Kama mjuavyo, kuna baadhi ya nchi duniani zinazo wapa...
RECIPE SAFI SANA YA DENGU HIZI ZA AINA YAKE
MAHITAJI
240gram Pigeon Peas ( Dengu)
1/4 tsp Turmeric (manjano)
720 gram maji masafi
3 kijiko kikubwa cha chakula samli (Ghee)
1 kitunguu kikubwa...
Je unatumia gas kwa kupikia?Tafadhali soma ujumbe huu na uchukue tahadhari ili isitokee kwako. Hili linaweza kuwa ni kosa la kawaida katika kila nyumba.JINSI ILIVYOTOKEA.jiko la gas lilikuwa...
Ingredients that are used to make this extremely effective potion are proven to help in the treatment and prevention of dementia and cancer.
Science has proven the powers of turmeric in the...
Kuna kitu nimewahi nunua ila sijakipata tena wala kujua nitapata wapi. Wengine wanaita ubuyu wa embe, wengine achari ila ni kama maembe yakatwe kidogodogo yakaushwe na kuwekwa viungo na rangi kama...
Habari wana JF.
Mwenzenuu nimeamua kupunguza safari za kwenda baa kunywa bia na sasa nahitaji kama kuna mtu anafahamu jinsiya kutengeneza bia nyumbani anifahamishe ili niwe natengeneza tu...
fuata hatua zote za kupika pilau lakini badala ya kutumia jiko wewe tumia rice cooker.
Kama kuna sehemu sijaeleweka jisikie huru kuniuliza.
Enjoy pilau lako
Mapishi ya wali wa nazi:
VIFAA
Mchele kg 1
Nazi 2 au pkt 2 nazi ya maji
Chumvi kijiko 1 cha chakula
Jira kijiko 1cha chakula
Maji 1/2 lita
JINSI YA KUANDAA
Osha mchele vizuri,chuja...
KEKI ISIYOOZA.
Chukua kiasi kikubwa cha "UCHANGAMFU".
Angalia kisiwe kikubwa sana. Changanya na
bakuli lililojaa "UKARIMU". Ongeza bakuli la
"WEMA" Changanya na kijiko cha "HURUMA"
Koroga vyote...
Male Chef/Mpishi is needed in a restaurant located outside of town. Must speak English and Swahili fluent.
Know how to cook different food both local and international, pizza is an advantage...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.