Wakati Rais Samia akimpolea Rais wa uganda Yoweri Mseveni uwanja wa ndege jijini Dar kuna taharuki ya kuwepo mgonjwa wa kwanza wa kirusi kipya kilichogunduliwa Afrika ya Kusini siku tatu zilizopita.
Mgonjwa huyo Mzungu Rais wa Botwana aliyedaiwa kuingia nchini kutokea mjini Johannesburg Afrika ya Kusini leo asubuhi kwa ndege ya shirika la ndege la KQ la Kenya.
Rais Mseveni na mweyeji wake wamekutana eneo ambalo kwa sasa huenda ndio kitovu cha kirusi kipya cha Corona.
Tanzania haijachukua hatua zozote za kujilinda na kirusi hicho kipya huku nchi za nyingi zikizuia ndege kutoka mataifa kadhaa ya kusini mwa afrika kuzuia kuenea kwa kirusi hicho kinachoadaiwa kuwa kinasambaa kwa kasi zaidi.
Mgonjwa huyo alipimwa baada ya kuonekana kuwa...