JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Katika siku za hivi karibuni, kumekuwepo na picha (graphic) inayosambazwa kwenye vikundi vya Facebook ikimnukuu Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Boniface Anyisile Mwabukusi Picha hiyo inadai kuwa Rais huyo amesema matamshi ya Tundu Lissu yana viashiria vya "uhaini" na kwamba yanapaswa kuzungumzwa mezani .kama yanavyonukuliwa Matamushi ya Lissu yalikuwa na Uhaini ndani yake turudi mezani yanazunguzika.. Ufuatiliaji wa kina uliofanywa kupitia mbinu ya utafutaji wa maneno muhimu (Keyword Search) umebaini yafuatayo: Ufuatiliaji umebainisha kuwa Ukurasa wa Chanzo TV, ambao nembo yake imetumika kwenye picha hiyo, haujachapisha taarifa yoyote ya aina hiyo katika akaunti zao za Facebook, X (zamani Twitter), wala Instagram. Rais...
Kupitia mitandao ya kijamii, hususan Facebook, kumekuwepo na ukurasa uliochapisha video inayowahamasisha wanaume kutofanya mazoezi, ikidai kuwa kufanya mazoezi husababisha watu kutokuwa na afya njema. Katika video hiyo, mhusika anarejelea zamani akisema kuwa watu wa kale hawakufanya mazoezi, na anawashauri wanaume waache kufanya mazoezi kwa madai kwamba wanaweza kuugua maumivu ya mgongo. Je ni upi uhalisia chapisho hilo.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…