JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Kumekuwa na machapisho kadhaa yanayosambaa kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya na Tanzania, yakidai kuwa kijana Mtanzania, Isaiah Yunge, ametoa zaidi ya shilling billion 7 za Kenya ili kufanikisha ndoa yake na bintiye William ruto huko nchini Kenya Miongoni mwa machapisho hayo kuna ujumbe unaodaiwa kutolewa na Isaiah Yunge ukisema: I paid 7 billion Kenyan shillings as dowry for my beautiful wife Charlene Ruto. I added 2 choppers to the first family and also awarded my in-law George one nganya bus. I also bought my wife Charlene a golden ring worth 56 million. That is the little I could afford. I thank my father-in-law Dr. William Ruto for accepting my humble dowry. Aidha, baadhi ya machapisho yamekuwa yakisambaza nukuu inayodaiwa...
Kisukari cha mimba (Gestational diabetes - GD au GDM) ni aina ya kisukari kinachotokea wakati wa ujauzito, ambapo kiwango cha sukari kwenye damu hupanda kupita kiasi (hyperglycemia). Hali hii hutokea pale homoni zinazozalishwa na kondo la nyuma (placenta) zinapoathiri uwezo wa mwili kutumia au kutengeneza insulini ipasavyo. Insulini ni homoni inayosaidia mwili kudhibiti kiwango sahihi cha sukari (glucose) kwenye damu. Dalili za kisukari cha mimba Dkt. Rugemeleza anaeleza kuwa dalili hizi hufanana sana na dalili za kawaida za ujauzito, ni rahisi kuzichanganya; hivyo uchunguzi wa kitabibu ni muhimu sana ili kugundua tatizo mapema. Dalili Zinazoonekana: Mama mjamzito anaweza kuwa na kiu kinachopita kiasi na kukojoa mara kwa mara...
Tunachokijua (What We Know) Gen. Muhoozi Kainerugaba, Uganda's Chief of Defence Forces and son of President Museveni. Dr. Kizza Besigye, a four-time Ugandan presidential candidate, was abducted in Nairobi, Kenya, on November 16, 2024, while attending a book launch hosted by Kenyan politician Martha Karua. He was secretly transferred to Uganda and resurfaced on November 20, 2024, when he was arraigned before a military court in Kampala on charges including illegal possession of firearms; those charges were later upgraded to treason. His abduction sparked accusations of covert cooperation between Kenyan and Ugandan security services The Claim: A social media post (accompanied by a YouTube thumbnail-style graphic) claims Gen. Muhoozi...
Tunachokijua A post circulating on TikTok from an account operating under the handle “MED BARBER” claims that opposition leader Kizza Besigye has died. Click here to see post. The post contains a screenshot showing Besigye being placed into an ambulance after he collapsed during a court proceeding, alongside several pictures of him with the words: “RIP We shall remember you as our best freedom fighter.” There has been no official communication from his family, legal team, prison authorities, or any recognised institution confirming his death. CLAIM A TikTok post by an account under the handle “MED BARBER” claims that Dr. Kizza Besigye has passed away. The post uses images of Besigye, including a screenshot showing him being taken...
Mnamo mwaka 1912, mvumbuzi na fundi nguo Franz Reichelt alipoteza maisha baada ya kuruka kutoka Mnara wa Eiffel nchini Ufaransa akijaribu kuvumbua vazi la parachuti aliloamini lingeweza kumnusuru mtu anayeanguka kutoka juu. Jaribio hilo lilifanyika mbele ya mashuhuda na kurekodiwa kwa kamera, lakini kifaa hicho hakikufunguka kama alivyotarajia na kusababisha kifo chake papo hapo. Zaidi ya karne moja baadaye, tukio hilo linaendelea kuzua mijadala kuhusu mipaka ya ubunifu, ujasiri na hatari katika sayansi na teknolojia. Wapo wanaomwona Reichelt kama mtu aliyekuwa mbele ya wakati wake na aliyetoa mchango kwa maendeleo ya usalama wa anga, huku wengine wakiamini alichukua hatari kubwa isiyo ya lazima. Wewe una maoni gani—je, alikuwa shujaa...
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na machapisho mbalimbali yanayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii yakiwa na jumbe zinazodaiwa kutolewa na baadhi ya viongozi, hususan wa nchi za Afrika Mashariki na Afrika ya Kati. Mojawapo ya machapisho hayo linadai kuwa aliyekuwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, alisema:"If you want to stop youths from alcohol or playing Aviator, just tell them that it's owned by William Ruto." Chapisho lingine linadai kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, alisema: "Mimi naomba Rais ndugu yangu William Ruto anipe mamlaka niongoze Kenya kwa wiki mbili tu, nimalize huo mchakato wa hao viumbe wa ajabu wanaojiita Gen Z. Ninyooshe nchi ya Kenya." moja ya machapisho yamechapishwa hapa Je...
Kumekuwepo na video inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikidaiwa kuwa inaonesha baadhi ya wanachama wa CHADEMA wakiandamana kupinga uwepo wa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche. Video hiyo imeambatana na ujumbe unaosema:"CHADEMA wamefanya maandamano makubwa wakitaka Makamu Mwenyekiti wao, John Heche, ajiuzulu kutokana na tuhuma za wizi wa fedha za chama." Je ni upi uhalisia wa video hiyo?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…