JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Wakuu nimekutana na hii taarifa hapa ikieleza. "Waziri wa Maliasili na Utalii wa Tanzania, Dkt. Pindi Chana, amesema kuwa serikali yao itasimika pazia kubwa katika Mlima Kilimanjaro ili kuwazuia watalii wasiuone mlima huo kutoka upande wa Kenya katika mji wa Oloitokitok. Amesema sababu ni kwamba watalii wanapokuja kuutazama mlima huo kupitia upande wa Kenya, sekta ya utalii ya Kenya ndiyo hunufaika na siyo yao, ilhali serikali ya Tanzania hainufaiki wala kupata mapato yoyote. Ameongeza kuwa watalii wanaotaka kuuona mlima huo wanapaswa kuingia Tanzania, kulipa ada halali, visa na gharama nyingine husika, ndipo waweze kuuona mlima."
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…