Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Kwa mujibu wa chanzo, Shirikisho la soka duniani FIFA limeitaka klabu ya Yanga inayoshiriki ligi kuu soka Tanzania bara kujieleza juu ya tuhuma za kushiriki Siasa kwa kukichangia pesa za uchaguzi...
6 Reactions
75 Replies
4K Views
Ndugu Wachezaji, Mashabiki na Wanaharakati wa Amani, Tanzania yetu imetoka katika kipindi kigumu cha kisiasa, kipindi ambacho baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki zetu wamepoteza maisha mikononi...
0 Reactions
0 Replies
201 Views
Silver Strikers vs Yanga SC Saa 10:00 jioni Leo ni siku nyingine ya Wananchi kufurahi #CAFCL Soma Pia>> Rasmi ndoa ya yanga na Folz yafikia ukomo
11 Reactions
126 Replies
5K Views
Nikiwa Rais wa Tanzania ntatengeneza mazingira ili mpira wa miguu uwe unachangia kodi ya sh Trillion 1, ntahakikisha mtoto aliyezaliwa uganda, kenya, Rwanda, Dr Congo, Zambia, n.k anakua na ndoto...
6 Reactions
11 Replies
588 Views
28 October 2025 Addis Ababa Ethiopia 0 - 1 Tanzania Tanzania yafaulu mtihani wa kushiriki Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake la TotalEnergies, Morocco 2026. Twiga Stars imeweza kuingia...
1 Reactions
1 Replies
261 Views
Wadau wa Mpira wa Afrika Mashariki, wamewataka Kenya na Uganda kwenda Tanzania kujifunza Mpira wa miguu. Wajifinze mbinu za Tanzania wameweza Timu zao zote Nne zikafaulu? Hongera TFF kwa ubora...
5 Reactions
9 Replies
516 Views
Huu uzi utunzwe. Sababu ni umri mdogo sana, sio rahisi aweze kuhimili pressure kubwa ya mpira wa Tanzania. Na hana mafanikio yoyote kimpira. Labda kama Uto wamemleta kwa majaribio. Hatoboi...
8 Reactions
48 Replies
3K Views
30 Oktoba 2025 Jiji la New York City USA Majina makubwa ya wakimbiaji mbio za marathon kyshiriki mbio hizo jumapili tarehe 4 November 2025 saa mbili asubuhi Mwamba huyo kutoka Tanzania mbali ya...
0 Reactions
0 Replies
246 Views
Inapatikana hapa https://www.youtube.com/watch?v=J6wxiYVSJHY Samahani: ni Raja Casablanca siyo RC Alger; timu ambayo haipo. Nimekurupuka !! Nimekosa sana, Nimekosa sana, Nimekosa mie.
1 Reactions
0 Replies
187 Views
Leo katika mwendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kutakuwa na mchezo kati ya Yanga na Mtibwa Sugar utakaopigwa katika Uwanja wa KMC Complex majira ya saa 10:00 jioni. Mara ya mwisho timu hizi...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Wapenzi wa Yanga SC huzuni sasa basi, utabiri wangu nawapa nyinyi hapo jumamosi. Gemu itisha kwa mwenyeji kuibuka na ushindi wa goli mbili kwa moja.
1 Reactions
6 Replies
444 Views
Next Match : Simba SC vs Nsingizini hotspurs. Starting Xl ya Simba SC All the best Simba SC 🦁 #Nguvu moja.
4 Reactions
69 Replies
3K Views
Labda amesahau hivyo nawaomba wana Yanga SC wenzangu hapa JamiiForums tusaidiane Kumkumbusha ili tukanywe.
2 Reactions
12 Replies
441 Views
Wakuu I salute you kinsmen Kuna team ilikuwa inasifiwa sana wanajisifia sana kuwa wao watalipa ticket na uwanja watajaza mapema tu saa 8 mchana unakuwa full Na semaji Lao likawajaza upepo kuwa...
1 Reactions
6 Replies
548 Views
Wasaalam Juzi siku ya mechi ya Yanga nikiwa mitaa ya mandela road kuelekea ubungo nilikutana na makund ya vijana yakitembea kwa mguu kutoka taifa had ubungo mbele mbele vifua waz jasho la...
4 Reactions
5 Replies
409 Views
Kwa niaba ya mashabiki wa Simba naomba radhi Kwa dhambi ya kulinganisha Pacome mchezaji wa World Cup akiwa na timu kubwa Cote D'Ivoire na magharasa yetu ya Mpanzu na Ahoua Leo tumewaona Mpanzu...
7 Reactions
9 Replies
559 Views
Kupitia ukurasa wa Mtandao wa Instagram ya timu ya Simba sports club wameandika kumshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapa kitita cha Millioni 15 kama...
1 Reactions
7 Replies
371 Views
Wachambuzi wasiojua mpira wanambagaza Prince Dube binafsi nabaki nawashangaa Sisi tuliocheza mpira na baadae tukapata course za coaching tunajua hata striker kukosa nafasi ya kukosa goal ni mzuri...
8 Reactions
55 Replies
2K Views
EPL inaendelea kutupa raha, kuna watu mechi nne hawajashinda ata moja. Arsenal kombe letu huu mwaka. Mnao ogopa makelele nunueni ANC earphones.
4 Reactions
19 Replies
544 Views
I salute you kinsmen Wakuu Yanga wamemuajiri kocha wa zamani wa vilabu vya Sporting Lisbon,De Agosto na timu ya taifa ya Angola,Pedro Valdemar Soares Gonçalves (49). Pira Ureno linakuja...
4 Reactions
12 Replies
770 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…