Kinachofanyika ni sawa na kuwanyima burudani wenye timu zao wanaoishi Tanganyika
Lakini ni nani hasa anayehamisha Mechi za Timu za Tanganyika na kuzipeleka Zanzibar, Amelenga nini?
Je wenye Timu...
People often think of gambling companies as easy money machines. The reality? Itโs one of the most competitive industries out there.
What does it take to stay in the game?
๐๐๐๐ก ๐ฌ๐ฎ๐ฉ๐๐ซ๐ข๐จ๐ซ๐ข๐ญ๐ฒ โ...
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Crescentius Magori, ametoa kauli yake baada ya mchezaji Selemani Mwalimu kutangazwa Yanga, akieleza kuwa jambo hilo halina uzito wowote wa kuilaza au...
Nasikitika kusema kuna mashabiki maarufu kama influencer wa Simba hawana akili timamu na nikama hayawani mmoja anaitwa nyumbu.
Rais Samia ndiye huyu mlimzomea kwenye Simba day mwaka jana,leo...
Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambiliaji Selemani Mwalimu ambaye msimu uliopita aliichezea Simba kwa mkopo, ikiwa ni siku chache tangu mchezaji huyo anukuliwe katika clip iliyopostiwa na...
Sina mashaka kabisa na ninachokisema.Huyu aliyempa maelekezo msemaji wa Simba anapaswa kuondoka pale Simba mara moja.
Inaonekana ni mpango wa kuidhalilisha timu uliopangwa na upande wa pili na...
Tofauti ya Yanga na Simba ni viwango vyao vya umbumbumbu. Umbumbumbu wa mashabiki wa Simba ulianza kutangazwa na mwanasimba mwenzao Kaduguda na kukolezwa na Rage.
Ukiona mashabiki wanakunya...
Baada ya Klabu ya Yanga kumtangaza Selemani Mwalimu katika kikosi chao, Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally ameandika ujumbe mzito ulioambatana na picha ya...
Uongozi wa Simba unaendelea kukabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo zimeanza kuibua maswali mazito miongoni mwa mashabiki wa klabu hiyo. Miongoni mwa maeneo yanayoonekana kuwa na changamoto...