Watanzania hatujui kipaumbele chetu ni nini, Amani kwanza au Haki kwanza.
Baada ya mechi kwisha na Tanzania kutolewa kwa (1 - 0) na Morocco, wachezaji na benchi lote la ufundi walisimama...
Nimeamini Watanzania hawajui mpira.
Wachambuzi wakubwa wanalalamikia eti lile tukio la Jana referee ati kawadhulumu penalty
Sasa Ile penalty Gani mnataka?
Sio kila contact ni faul
Ile contact...
Klabu ya Simba SC itashuka dimbani katika Uwanja wa New Amaan Complex Stadium katika mchezo wa Mapinduzi Cup 2026 dhidi ya Muembe Makumbi ya (Zanzibar) majira ya saa 8:15 usiku. Hii itakuwa mchezo...
Kwanza wamefungwa...
Wekeni picha ya mshindi. Yani M-Morocco
Picha ya loser haiwezi kupamba front page ya media... hamuoni hata mapicha ya media za dunia?
Pili tunajaribu kuponya akili za...
TAIFA STARS IMEKUWA BORA BILA WACHEZAJI WA SIMBA.
Sijajua kama viongozi wa Simba Kuna kitu wamejifunza kupitia hii AFCON, ila ukweli ni kwamba hii imetuonyesha kuwa Simba Ina wachezaji wa kawaida...
Kutoka kuwa kocha mkuu wa Singida Black Stars hadi kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi ambacho ndio cheo kipya cha Miguel Gamondi ambaye kwa sasa ni kocha wa muda wa Taifa Stars.
Kwa mujibu wa...
NAONA MAKELELE.MTANDAON KILA.KONA
WELL
NASHAURI WAJUE PIA KUNA MAKOSA WALIFANYA YAMEWAGHARIMU
WAKISOMA.WASIKIMBILIE WAMEONEWA NA REFA JE ZILE NAFASU 2 WANGETULIA
SI WANGESHINDA MECHI
ASSUME...
Mpira ulikuwa mzuri na ulikuwa huru na haki naipongeza sana Morocco imepata ushindi wa kishindo kutokana na jitihada kubwa pamoja na maandalizi mazuri waliyo kuwa nayo.
Lakini pia nampongeza...
Auae kwa upanga atauawa kwa upanga pia. Hatutaki kusikia kina Makonda wakilalamika kuwa Refarii kainyima Taifa stars penati.
Mpira umeisha kwa Amani. Kazi na utu.
Manchester United imefuta kazi ya meneja wake, Ruben Amorim, hatua iliyofuata matokeo mabaya ya timu katika michezo ya hivi karibuni.
Uamuzi huu umefanywa na klabu asubuhi ya leo, Januari 5...
Congrats Mr Gamondi.
Nimekupenda bure mkuu. Najua Morocco wamechanganyikiwa vibaya, aisee.
Mkuu mwezi mmoja tu umeweza kuwaunganisha timu. Waendelee hivyo, aisee.
Eng, embu tujaribu tena kama...
Hakuna raha kama kuwashuhudia Mazezeta ya Taifa stars yaking'olewa kibabe na timu ya Taifa ya Morocco. Maana Walikua wamejiandaa kumuimbia mapambio yule mtu fudenge alie mafichoni.
Tena...
Udhaifu wa kutokujua lugha zaidi ya Moja hasa kifaransa na kiingereza ndiyo chanzo kikubwa cha marefarii wetu kutokupangwa kuchezesha mechi zinazoandaliwa na CAF.
Itakuwa ni aibu tuandae...
MPAKA SASA HALI SIO NZURI
KWETU
MPAKA SASA INAONEKANA FT MATOKEO YATAKUWA
2-0/2-1
KUNA MCHEZAJI AKIWEPO KWENYE LIST NTAWAJUZA MAPEMA 3 ZINAWEZA KUTUHUSU
ALL N ALL
KILA LA KHERI TIMU ZOTE
YAMETIMIA
.
Timu ya Taifa ya Mali imetinga robo fainali baada ya kuitupa nje ya michuano ya AFCON,Tunisia kwa mikwaju ya penati 3-2 baada ya sare ya bao moja ndani ya dk 120.
.
Mlinda mlango wa...