NAANZA NA HAWA WANAUME WENGINE WATAFUATA
.
Ukiwa na roho ya Korosho unaweza ukakaa kimya kabisa bila kuwapongeza na Kuwazungumzia hawa Wanaume
Kiufupi sana kwangu mimi huu Ukuta ndio ukuta bora...
Chama cha soka nchini morocco wameandika barua ya malalamiko mara baada ya mechi ya hatua ya robo fainali kati ya Morocco na Cameroon kupangiwa marefari kutoka nchini Egypt na Algeria.
Refa wa...
Klabu ya Simba SC itashuka dimbani katika Uwanja wa New Amaan Complex Stadium katika mchezo wa Mapinduzi Cup 2026 hatua ya Nusu Fainali dhidi Azam Fc majira ya saa 8:15 usiku. Mshindi katika...
Timu ya taifa ya Gabon imesimamishwa na serikali hadi itakapotangazwa vinginevyo baada ya kutolewa katika hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Mshambuliaji wa timu hiyo...
Wale mnaowatakia ama kuwaombea mabaya waarabu waondolewe kwenye mashindano haya ya AFCON na wabakie weusi tu mmefeli, tena sio kidogo, hakunaga duaa mbaya kwa mwenzio na ikakubaliwa.... huo ni...
Nimeshuhudia mapokezi ya leo ya Taifa Stars. Kwa maandalizi na ukubwa wa tukio, ni kana kwamba wamechukua ubingwa wa AFCON, ilhali walishia hatua ya 16 bora, na hata kufika hapo walipata nafasi...
Leo nimeona kitu cha ajabu ila kwa kuwa hakina mda mrefu nimetoka kuona haya haya afcon tstars vs moroco
Mpendwa kaka karia tufike wakati hawa waamuzi msiwabebe tu ili mradi wako znz kama hawana...
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Misri Mohamed Salah amesema timu yake haipo miongoni mwa timu zinazopigiwa upatu kushinda Kombe la AFCON, lakini amesisitiza kuwa watapambana kwa nguvu zote ili...
Nawaombea sana ndugu zangu waislamu wa Afrika ya kaskazini mmoja aibuke na ushindi/kombe.
Morocco
Algeria
Egypt
Tunisia
Sudan
Senegal
Especially hao wa juu mmoja aibuke mshindi na wawakate...
Mpo kwenu dakika za majeruhi kwenye boksi mpinzani anataka kukufunga na kuzua taharuki sasa unategemea beki amuachie tu mpaka ashinde wakati yeye amepewa jukumu la ulinzi ?
Je , unataka na refa...
Wachezaji wawili wa Equatorial Guinea wamefungiwa kwa kuwatusi waamuzi katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), huku nahodha wa Burkina Faso, Bertrand Traore, akitozwa faini kutokana...
Unapokua mtu wa mazoezi sana, faida kubwa ni kujiepusha na magonjwa yasioambukizwa kama vile matatizo ya insulin kupanda na kushuka ghafla(DIABETES)[KISUKARI], baadhi ya kansa na magonjwa mengine...
Club ya Manchester United imetangaza kumfukuza kazi aliyekuwa kocha wao Amorim
Hatua hiyo imekuja baada ya kikao kilichofanyika leo asubuhi kati ya uongozi na kocha huyo
======
Manchester United...
Watanzania hatujui kipaumbele chetu ni nini, Amani kwanza au Haki kwanza.
Baada ya mechi kwisha na Tanzania kutolewa kwa (1 - 0) na Morocco, wachezaji na benchi lote la ufundi walisimama...
Nimeamini Watanzania hawajui mpira.
Wachambuzi wakubwa wanalalamikia eti lile tukio la Jana referee ati kawadhulumu penalty
Sasa Ile penalty Gani mnataka?
Sio kila contact ni faul
Ile contact...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.